Niliyoyashuhudia kwa uchache Mtwara

Lazia Sultan

Senior Member
Jun 4, 2020
120
328
Ni kusini mwa Tanzania nimetembelea Mtwara, kama Msomi wa kati niliyeamua kujiajiri kutoka nyanda za juu kusini nimeamua kujiajiri nipo kusini ambako mjini Masasi kuna Tandale Kama ile ya Dar.

Huku Kuna stori nyingi
wanakusini ni watu wa kubadilika kulingana na matukio, habari yao kuu ni zao la korosho na ufuta. Story ambayo kwao imekuwa Kama gumzo kwa miaka ya karibuni. Ila biashara zinasonga sana na kupo vizuri.

Kuna mama mmoja maarufu Tandale ya Masasi mnunuzi wa nyanya huwa tunapiga story sana na nilijaribu kumhoji kuhusu elimu japo nilikuwa najaribu nimpime tu, akanijibu huku watu wamesoma lakini "wanajisikia sana" yaani wana majivuno.
Kuna sekondari kongwe Kama Ndanda, Masasi girls, Chidya, Ndwika girls... lakini sasa hivi hazivumi. Kumbe mama Anne Makinda kasoma Masasi Girls na Mkapa Ndanda. Sikujua kabla. Akasema Watoto wetu wanasoma huko, walimu wenye degree wanahamishwa kupelekwa shule za msingi wanabakizwa wenye diploma wafundishe sekondari. "Viongozi wetu wamerogwa"

Kiukweli nikaamua kumrudisha huyo mama kwenye biashara zetu za sokoni, ingawa mzigo nilishamaliza Hayo ya elimu nikaona si size yake. Tukaendelea na story nyingine.
Nipo njiani narudi kuchukua mzigo mwingine nipeleke tena kusini.
Aisee Vijana tupambane huko kwenye ajira tuwaachie wenyewe. Kujiajiri Kuna mengi mazuri. Sikujua kuwa wanafunzi wa sekondari wanasoma tuition kwa mwl wa shule ya msingi huko Mtwara.
Ati kuna Degree na Masters zinafundisha msingi huku Diploma zipo High Schools.
Wasaidieni wale watu jamani, sikujua kwanini kusini kunadharaulika kumbe ni mambo Kama yale. Hadi muuza nyanya anawapuuza. Si kweli jamani khaaa!!
 
niliyoyaona mtwara na lindi ni vichekesho nakumbuka miaka mitatu nyuma niliwai kuwa huko nilistahajabu nilipomuona mzee kilindo akipata faida kubwa na pesa nyingi kwa kuuza korosho na ufuta ila alichokifanya ilikuwa ni kituko maana aliongeza mke wa tatu akanunua bodaboda na jenereta kisha akanunua runinga flat screen kubwa, na akaenda kupanga gest kilwa masoko na wake wake watatu wakala bata miezi sita ilipoisha wakarudi kwenye kibanda chao cha udongo cha room tatu. NA HUKO NDO KUSINI YANI NI UMWINYI MTUPU KILA KITU KWAO NI MZAHA BIASHARA HAWAJUI
 
niliyoyaona mtwara na lindi ni vichekesho nakumbuka miaka mitatu nyuma niliwai kuwa huko nilistahajabu nilipomuona mzee kilindo akipata faida kubwa na pesa nyingi kwa kuuza korosho na ufuta ila alichokifanya ilikuwa ni kituko maana aliongeza mke wa tatu akanunua bodaboda na jenereta kisha akanunua runinga flat screen kubwa, na akaenda kupanga gest kilwa masoko na wake wake watatu wakala bata miezi sita ilipoisha wakarudi kwenye kibanda chao cha udongo cha room tatu. NA HUKO NDO KUSINI YANI NI UMWINYI MTUPU KILA KITU KWAO NI MZAHA BIASHARA HAWAJUI
Miezi sita yote kila siku ulikuwa unaenda kuuliza hapo gest kama wameto au la? Acheni fix, tena unajibu ulimuona!
 
niliyoyaona mtwara na lindi ni vichekesho nakumbuka miaka mitatu nyuma niliwai kuwa huko nilistahajabu nilipomuona mzee kilindo akipata faida kubwa na pesa nyingi kwa kuuza korosho na ufuta ila alichokifanya ilikuwa ni kituko maana aliongeza mke wa tatu akanunua bodaboda na jenereta kisha akanunua runinga flat screen kubwa, na akaenda kupanga gest kilwa masoko na wake wake watatu wakala bata miezi sita ilipoisha wakarudi kwenye kibanda chao cha udongo cha room tatu. NA HUKO NDO KUSINI YANI NI UMWINYI MTUPU KILA KITU KWAO NI MZAHA BIASHARA HAWAJUI
Wafanyabiashara wengi Mtwara ni wabena na wakinga. Wenyeji kule hawawezi biashara.
 
niliyoyaona mtwara na lindi ni vichekesho nakumbuka miaka mitatu nyuma niliwai kuwa huko nilistahajabu nilipomuona mzee kilindo akipata faida kubwa na pesa nyingi kwa kuuza korosho na ufuta ila alichokifanya ilikuwa ni kituko maana aliongeza mke wa tatu akanunua bodaboda na jenereta kisha akanunua runinga flat screen kubwa, na akaenda kupanga gest kilwa masoko na wake wake watatu wakala bata miezi sita ilipoisha wakarudi kwenye kibanda chao cha udongo cha room tatu. NA HUKO NDO KUSINI YANI NI UMWINYI MTUPU KILA KITU KWAO NI MZAHA BIASHARA HAWAJUI
Huko ndio Makao Makuu ya ccm.
 
niliyoyaona mtwara na lindi ni vichekesho nakumbuka miaka mitatu nyuma niliwai kuwa huko nilistahajabu nilipomuona mzee kilindo akipata faida kubwa na pesa nyingi kwa kuuza korosho na ufuta ila alichokifanya ilikuwa ni kituko maana aliongeza mke wa tatu akanunua bodaboda na jenereta kisha akanunua runinga flat screen kubwa, na akaenda kupanga gest kilwa masoko na wake wake watatu wakala bata miezi sita ilipoisha wakarudi kwenye kibanda chao cha udongo cha room tatu. NA HUKO NDO KUSINI YANI NI UMWINYI MTUPU KILA KITU KWAO NI MZAHA BIASHARA HAWAJUI
huyo mzee noma
 
Nipo Mtwara huu Ni mwaka wa nne ww una kasumba ya dharau tu kwa Wana Mtwara umeongea porojo nyingi sijajua lengo lako Ni nn kiufupi Mtwara mm nashirikiana na wenyeji vizuri SNA mpka Sasa Nina ekari 40 ya mikorosho nimeipanda mwenyewe kwa msaada wa wenyeji hivyo nawaheshimu SNA .
 
niliyoyaona mtwara na lindi ni vichekesho nakumbuka miaka mitatu nyuma niliwai kuwa huko nilistahajabu nilipomuona mzee kilindo akipata faida kubwa na pesa nyingi kwa kuuza korosho na ufuta ila alichokifanya ilikuwa ni kituko maana aliongeza mke wa tatu akanunua bodaboda na jenereta kisha akanunua runinga flat screen kubwa, na akaenda kupanga gest kilwa masoko na wake wake watatu wakala bata miezi sita ilipoisha wakarudi kwenye kibanda chao cha udongo cha room tatu. NA HUKO NDO KUSINI YANI NI UMWINYI MTUPU KILA KITU KWAO NI MZAHA BIASHARA HAWAJUI
Kazi na bata
 
Nipo Mtwara huu Ni mwaka wa nne ww una kasumba ya dharau tu kwa Wana Mtwara umeongea porojo nyingi sijajua lengo lako Ni nn kiufupi Mtwara mm nashirikiana na wenyeji vizuri SNA mpka Sasa Nina ekari 40 ya mikorosho nimeipanda mwenyewe kwa msaada wa wenyeji hivyo nawaheshimu SNA .
Barikiwa sana

Kuna watu wananyea mikono inayowalisha
 
W
Nipo Mtwara huu Ni mwaka wa nne ww una kasumba ya dharau tu kwa Wana Mtwara umeongea porojo nyingi sijajua lengo lako Ni nn kiufupi Mtwara mm nashirikiana na wenyeji vizuri SNA mpka Sasa Nina ekari 40 ya mikorosho nimeipanda mwenyewe kwa msaada wa wenyeji hivyo nawaheshimu SNA .
Wengine wanajiona kuwa ni Wa Tigray mkuu sie Wa Olomo ama Wa mhara eti kazi yetu ni kucheza ngoma na kuchunga
 
Back
Top Bottom