Napapenda Lindi na Mtwara kwa sababu zifuatazo

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,583
44,826
1. Kasi ya maambukizi ya ukimwi ni ndogo sana, unaweza ukakutana na PC za kienyeji 20 katika shughuli na zote ukaenda kuloweka kwa bei nzuri kabisa na usipate sio tu ngoma bali hata gonorrhoea hupati n'go na huku kizuri hata mchepuko wako mama yake anakuzingatia anakujua na hana shida cha msingi posho zinafika home

2. Uhaba wa watumishi so katika activities yoyote no excuse ile team mliopo ndo wote mnakwenda hakuna rotation (hapa nazungumzia kwa wale wafanyakazi wa mama Samia)

3. Amani,huku hakuna kutishana wala kuuana ovyo fursa za ardhi zipo na hakuna migogoro

4. Sehemu zote muhimu nauli zake zinalipika. Lindi to Mtwara au to Masasi nauli 5000 tu.

5. Hali ya hewa nzuri na maeneo mengi ni ya asili miti mingi maji yapo mfano mabonde ya Rutamba Milola na Rondo plateu..vyakula vya asili kama vyote

Napapenda Dar na kwetu Dodoma- Singida ila we Kusini siwezi ondoka utawala.
 
hizo nyingine sawa,,, ila hiyo namba moja hapana nakataa
Ukimwi upo kote ila sio kama iringa dar huko..huku sijui kuna kinga za kimila maana hatuambukizani kabisa na tunabadilishana vimwali...au tusubiri miezi mitatu tukapime mkuu???
 
Back
Top Bottom