Niliyoyaona Mumbai(Bombay)

Niliyoyaona Mumbai(Bombay)

Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha
 
India bana ubakaji ni jambo la kawaida tena ile gang rape police wanachukulia poa tu ni kawaida watu kutandika mabox na kulala nje uchafu ni sehem ya maisha yao...Pia polisi anaogopeka sana kule na tajiri hashtakiwi akimfanyia chochote kibaya maskini
 
Wanathamini sana bikra.?!
Mara nyingi sana ukiona mtoto wa kike amejiua wakati mwingine inatokana na kuwa alimpa utamu kijana akiwa na matumaini kuwa atamuoa, akighairi inakuwa ni shida kuolewa maana hatakuwa na Bikra. Ujue India kuna aina mbili za ndoa yaani love marriage na arranged marriage. Kuna wanaooa kwa kujichagulia mchumba na ambao wanatafutiwa mchumba na wazazi wao. Vijana huku ni waungwana na ni wasikivu kwa baba zao, hivyo baba akikataa usimuoe binti fulani huoi. Usisahau kuwa Wahindi hukaa katika kaya moja hivyo ukioa mke wako anakuja kuishi katika kaya yenu. Kama bibi yako yupo hai ndiye boss wa mama yako na mke wako. Akifa bibi, mama anatawazwa kuwa boss. Mpaka mama yako atoweke ndiyo mke wako atakuwa boss. Kwetu utaambiwa bado unakula kwa mama? Niishie hapo ila kama una zaidi
 
Honi kama vile nyimbo kwao, nilipita Mumbai mwaka jana wakati nakwenda chennai, nikalala pale siku 4 siku 1 niliyoingia mjini sikutamani tena kurudi mpaka siku naondoka,
Hizo Honi mpaka niliugua kichwa, hata mwenyeji wangu nilipomuuliza kanijulisha anasema wao kupiga Honi sio kama labda uko vibaya dereva mwenzake, Ila Ndio udereva wao, hiyo niliona pia Karachi, Pakistan
 
Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha
upo sahihi ndugu yangu! ukitembea kwa treni utaona wanavorusha vinyesi kwenye reli kutokea majumban kwao!

halafu wanatema mate kila kona!

sema kuna miji mingne humo mumbai mizuri sana kama NAVI MUMBAI na kuna miji kama POWAI ni uzungun

By the way, ulifanikiwa kumsalimia AMITHA BACHCHAN?
 
Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha

Kweli ulikua Bombay naona ulituletea zawadi nyingi pamoja na hiyo avatar yako.
 
Mie Nikiingiaga ndani ya daladala kuchefukwa... mashule yetu mengi wanafunzi hujisaidia vichakani....
Nikipita mitaa ya Congo hupataga kisunzi...........
Nikiingia uwanja wa maonyesho ya 77 nazuiga tumbo hadi baadae...
Nikipandaga mabasi ya mikoani na bana pua na kuziba masikio.........
Sijui eapoti maji hakuna Hospitali maji na umeme wa kusasua...........


WEWE mf bean. Mumbai ni jjiji lenye wakazi (24m) Zaidi nusu ya idadi ya waTZ.... halafu huduma za tiba zote hupatikana papo hapo!! na kila aina upasuaji na ubadilishaji viungo bila kucheleweshwa na mlolongo wa Siasa... ni pesa yako !!
Jijila Mumbai lina miaka Zaidi 3000 toka lijengwe.... Soko la kwanza la dhahabu duniani ni Mumbai... bandari kuu imeshemiri usafiri wa maji kuunganisha dunia.....

mara ingine anza na Ukweli na haki ya mazuri yenye faida!!
Population ya Mumbai kwa sasa ni Million 42
 
Kwa uchafu umelenga hata zile hoteli kubwa unaweza pishana na mtu anajisaidia haja kubwa kwenye lango la kuingilia...
Pia kuna maeneo yana ombaomba balaa, ombaomba anakuganda haswa yaani akikufuata usipompa chochote hakuachi ataenda na wewe kama unatembea hata kama ni km5 hadi umpe chochote...
Makazi kiukweli yanachangamoto huwezi jua makazi ya proffesor au ya mtu ambae hajaenda shule, kuna maeneo unaweza mkuta prof anaishi chumba ambacho store ina uhafadhali....
Vyakula vinapilipili sana, hadi pipi utakuta ina pilipili...
Dah Pilipili ndani ya pilipili
 
INDIA umetoka wiki iliyopita thread unaanzisha leo baada ya narendra modi kuhutubia mie nawaambia hivi.... mtaisoma namba na mikataba imeshasainiwa tufanye kazi, tujenge nchi chadema hamuwezi chukua nchi kwa thread zisizokuwa na kichwa wala miguu kama hizi
Yani we unadhani kila mtu humu ndani ni mshabiki wa siasa. Think twice.
 
Honi kama vile nyimbo kwao, nilipita Mumbai mwaka jana wakati nakwenda chennai, nikalala pale siku 4 siku 1 niliyoingia mjini sikutamani tena kurudi mpaka siku naondoka,
Hizo Honi mpaka niliugua kichwa, hata mwenyeji wangu nilipomuuliza kanijulisha anasema wao kupiga Honi sio kama labda uko vibaya dereva mwenzake, Ila Ndio udereva wao, hiyo niliona pia Karachi, Pakistan



Honi kwa sasa zimepungua. Na kuna maeneo wameweka vibao huruhusiwi kupiga honi.

Yaani honi kwao ni burudani sana. Sasa hivi wanajisikia shida. Yaani inaposemwa noise pollution basi ni honi za India.
 
INDIA umetoka wiki iliyopita thread unaanzisha leo baada ya narendra modi kuhutubia mie nawaambia hivi.... mtaisoma namba na mikataba imeshasainiwa tufanye kazi, tujenge nchi chadema hamuwezi chukua nchi kwa thread zisizokuwa na kichwa wala miguu kama hizi
Unaisifia hiyo mikataba wewe umeiona!? Au unahadithiwa tu kilichosainiwa!?

CHADEMA itachukuaje nchi na tume ya Uchaguzi ni yako, yaani unaimiliki kama chupi yako unayovaa (kama unavaa chupi lakini)!?
 
ina maana hakuna hata positive moja la kujifunza..Ama unatushirikisha mabaya tu....
Mkuu, wewe unasema hivyo labda hujawahi kufika India. huwa tunasema sisi ni wachafu? Bongo hakuna mji mchafu. Ujue ule mji una idadi ya wakaazi milioni 20.7. Pamoja na kuwepo mazuri, lakini kimpression ya kwanza ukifika Mumbai ndo kama mleta mada alivyosema.
 
Mkuu, wewe unasema hivyo labda hujawahi kufika India. huwa tunasema sisi ni wachafu? Bongo hakuna mji mchafu. Ujue ule mji una idadi ya wakaazi milioni 20.7. Pamoja na kuwepo mazuri, lakini kimpression ya kwanza ukifika Mumbai ndo kama mleta mada alivyosema.
kwani nimemkatalia ''alichoona'' na ''kujifunza''?....swali langu langu limejikita na mambo chanya aliyoona na kujifunza apate kutushirikisha pia..
 
Hahahahahdhah

Kwa ninayoyasoma hapa naanza kupata kichefuchefu ptuuuu!!!

Wahindi wachafu
 
(huko
Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha


Hahahahaha hahahaha...hongera sana Ndugu yangu kwa kuainisha uliyoyaona, lakini kuhusu uchafu nadhani umesahau jambo moja whether ni kwa makusudi or not sijui...je, hukuona namna watu wasio na makazi wanavyojisaidia hovyo???...Kama hujaona hayo basi wewe hujafika Mumbai....Je, hujawaona maskini hohehahe hapo Mumbai ambao Mama Theresa alikuwa anawasaidia (huko Calcutta????) na hata kupata Uenye heri kulekea utakatifu??? Hujawaona maskini wa kutisha kuliko wa hapa Tanzania?
 
Back
Top Bottom