MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,308
Haha, vipi.?Sioni maana kuwadiscuss wahindi. Watu wajaabu sana wale. Nimetembea nchi nyingi na kukaa marekani kidogo lakni india naomba Mungu nisikanyage,ptuu!
Haha, vipi.?Sioni maana kuwadiscuss wahindi. Watu wajaabu sana wale. Nimetembea nchi nyingi na kukaa marekani kidogo lakni india naomba Mungu nisikanyage,ptuu!
Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha
Mara nyingi sana ukiona mtoto wa kike amejiua wakati mwingine inatokana na kuwa alimpa utamu kijana akiwa na matumaini kuwa atamuoa, akighairi inakuwa ni shida kuolewa maana hatakuwa na Bikra. Ujue India kuna aina mbili za ndoa yaani love marriage na arranged marriage. Kuna wanaooa kwa kujichagulia mchumba na ambao wanatafutiwa mchumba na wazazi wao. Vijana huku ni waungwana na ni wasikivu kwa baba zao, hivyo baba akikataa usimuoe binti fulani huoi. Usisahau kuwa Wahindi hukaa katika kaya moja hivyo ukioa mke wako anakuja kuishi katika kaya yenu. Kama bibi yako yupo hai ndiye boss wa mama yako na mke wako. Akifa bibi, mama anatawazwa kuwa boss. Mpaka mama yako atoweke ndiyo mke wako atakuwa boss. Kwetu utaambiwa bado unakula kwa mama? Niishie hapo ila kama una zaidiWanathamini sana bikra.?!
upo sahihi ndugu yangu! ukitembea kwa treni utaona wanavorusha vinyesi kwenye reli kutokea majumban kwao!Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha
aiseeeeeeeeeeeeeeeeeeHivi ccm mkiitwa viazi mnaona sifa?
Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha
Population ya Mumbai kwa sasa ni Million 42Mie Nikiingiaga ndani ya daladala kuchefukwa... mashule yetu mengi wanafunzi hujisaidia vichakani....
Nikipita mitaa ya Congo hupataga kisunzi...........
Nikiingia uwanja wa maonyesho ya 77 nazuiga tumbo hadi baadae...
Nikipandaga mabasi ya mikoani na bana pua na kuziba masikio.........
Sijui eapoti maji hakuna Hospitali maji na umeme wa kusasua...........
WEWE mf bean. Mumbai ni jjiji lenye wakazi (24m) Zaidi nusu ya idadi ya waTZ.... halafu huduma za tiba zote hupatikana papo hapo!! na kila aina upasuaji na ubadilishaji viungo bila kucheleweshwa na mlolongo wa Siasa... ni pesa yako !!
Jijila Mumbai lina miaka Zaidi 3000 toka lijengwe.... Soko la kwanza la dhahabu duniani ni Mumbai... bandari kuu imeshemiri usafiri wa maji kuunganisha dunia.....
mara ingine anza na Ukweli na haki ya mazuri yenye faida!!
Ahsante ... Sasa najiuliza hizo nywele zao zitakuwa tani ngapi ?????Population ya Mumbai kwa sasa ni Million 42
Dah Pilipili ndani ya pilipiliKwa uchafu umelenga hata zile hoteli kubwa unaweza pishana na mtu anajisaidia haja kubwa kwenye lango la kuingilia...
Pia kuna maeneo yana ombaomba balaa, ombaomba anakuganda haswa yaani akikufuata usipompa chochote hakuachi ataenda na wewe kama unatembea hata kama ni km5 hadi umpe chochote...
Makazi kiukweli yanachangamoto huwezi jua makazi ya proffesor au ya mtu ambae hajaenda shule, kuna maeneo unaweza mkuta prof anaishi chumba ambacho store ina uhafadhali....
Vyakula vinapilipili sana, hadi pipi utakuta ina pilipili...
Yani we unadhani kila mtu humu ndani ni mshabiki wa siasa. Think twice.INDIA umetoka wiki iliyopita thread unaanzisha leo baada ya narendra modi kuhutubia mie nawaambia hivi.... mtaisoma namba na mikataba imeshasainiwa tufanye kazi, tujenge nchi chadema hamuwezi chukua nchi kwa thread zisizokuwa na kichwa wala miguu kama hizi
Honi kama vile nyimbo kwao, nilipita Mumbai mwaka jana wakati nakwenda chennai, nikalala pale siku 4 siku 1 niliyoingia mjini sikutamani tena kurudi mpaka siku naondoka,
Hizo Honi mpaka niliugua kichwa, hata mwenyeji wangu nilipomuuliza kanijulisha anasema wao kupiga Honi sio kama labda uko vibaya dereva mwenzake, Ila Ndio udereva wao, hiyo niliona pia Karachi, Pakistan







Unaisifia hiyo mikataba wewe umeiona!? Au unahadithiwa tu kilichosainiwa!?INDIA umetoka wiki iliyopita thread unaanzisha leo baada ya narendra modi kuhutubia mie nawaambia hivi.... mtaisoma namba na mikataba imeshasainiwa tufanye kazi, tujenge nchi chadema hamuwezi chukua nchi kwa thread zisizokuwa na kichwa wala miguu kama hizi
Mkuu, wewe unasema hivyo labda hujawahi kufika India. huwa tunasema sisi ni wachafu? Bongo hakuna mji mchafu. Ujue ule mji una idadi ya wakaazi milioni 20.7. Pamoja na kuwepo mazuri, lakini kimpression ya kwanza ukifika Mumbai ndo kama mleta mada alivyosema.ina maana hakuna hata positive moja la kujifunza..Ama unatushirikisha mabaya tu....
kwani nimemkatalia ''alichoona'' na ''kujifunza''?....swali langu langu limejikita na mambo chanya aliyoona na kujifunza apate kutushirikisha pia..Mkuu, wewe unasema hivyo labda hujawahi kufika India. huwa tunasema sisi ni wachafu? Bongo hakuna mji mchafu. Ujue ule mji una idadi ya wakaazi milioni 20.7. Pamoja na kuwepo mazuri, lakini kimpression ya kwanza ukifika Mumbai ndo kama mleta mada alivyosema.

Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai. (1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai (2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari (3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa. Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha