Niliyoyaona Mumbai(Bombay)

Niliyoyaona Mumbai(Bombay)

Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai.

(1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai

(2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari

(3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa.

Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha
Hiyo ndio uhindini, na uchafu wao.
Tanzania kuxuri bana!
 
Kingine ni ubaguzi wa wahindi kwa watu weusi. Mtu mweusi India hana heshima kama ambavyo nchini petu tunavyowaheshimu watu wa rangi zote.

Ubaguzi hata wenyewe kwa wenyewe kati ya mhindi mweusi na mhindi kawaida.
 
Mimi nilienda last year Mumbai.juu ya honi na u busy Wa mji wao. Sijaona ajali barabarani.Mimi niliona wahindi wakarimu tofauti na nilivyohisi.chakula sikukipenda .na lugha ilikuwa ngumu usafiri wangu ulikuwa bajaji.muendesha bajaji kizungu hajui tunaelekezana kwa vitendo.na mji wao ni rahisi kupotea.

Kweli ajali sijaona. Kwa ubize wa magari nilitegemea wapigane pasi balaa ila hamna.

Ukarimu wa wahindi una sababu sio wa bure. Wahindi wanapenda sana udalali. Akikupeleka hotel,dukani, sehemu za kubadilisha pesa anapewa cha juu na yeye.
Hakuna msaada usiokuwa na malengo na msaada hauna risiti.
 
Mbona hawa wahindi wa hapa mjini wana kiburi sana utadhani wanatokea sehemu ya maana kumbe OLD manzese type??? Lini watarudi kwao Mumbai bana?
Nimerekebisha manake manzese saivi inatisha kwa magorofa kkoo soon itasubiri
Watu wa mipango miji wasijisahau Manzese inakuwa kwa kasi balaaaa full magorofa
 
Jamaa huwa wanatema ht makohozi hotelini mkiwa mnakula.afu washamba wanapiga mswaki kwny swimming pool jamaa wachafu kila mda wanatema makohozi
 
Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai.

(1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai

(2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari

(3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa.

Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha
we bombay yote na ukubwa wote ule umeona mabaya tu? hauwezi kuwa serious
 
Kuna kipindi nilikuwa Hyderabad nikakumbana na maziwa yaliyowekwa pilipili pia, hiyo ni baada ya mchuzi kunishinda kwa pilipipli nikaomba maziwa kupozea nikakuta ni yale yale.
 
Jamaa huwa wanatema ht makohozi hotelini mkiwa mnakula.afu washamba wanapiga mswaki kwny swimming pool jamaa wachafu kila mda wanatema makohozi
wanatema mate hovyo kwa ajili ya kula guberi na pariki
 
mbona mi nafikaga kila siku mumbai delhi na chennai lakini mighahawa yote niingiayo ni misafi na warembo ni wengi kushinda foleni ya magari,?



oh samahani nafikaga huko kupitia movie zao za bollywood
 
Hivi Mumbai na Bombay ni mji mmoja au ni tofaut
 
Inshort wahindi wachafu..Foleni kwao ni kawaida. Ukiwa Mumbai,New Delhi hivyo ni vitu vya kawaida. Ukienda kaskazini Punjab kuna joto la ajabu kipindi cha joto (50 Centigrade) na baridi lao sio mchezo(2 Centigrade). Ila wao wamezoea na maisha yanaenda. Uzuri ni kuwa elimu yao iko vizuri hasa kwenye maswala ya IT na biashara hawa watu wamejipanga. Na elimu ni bei chee sana.
 
u
Wadau wikiiliyopita nilibahatika kwenda matembezi ya wiki moja nchini India Nilifikia katka jiji la Mumbai. kama ilivyo kawaida sehemu yeyote ukifika kwa mara ya kwanza lazima kuna mambo kadhaa kama si yote yatakuwa ni mageni kwako. Yafuatayo ni baadhi ya yale niliyo yashuhudia huko Mumbai.

(1) Foleni ya magari na Pikipiki Sijawahi katika maisha yangu kudhani hata siku moja kama kuna sehemu kunawezakuwepo na msongamano wa magari na pikipiki kama ilivyo mumbai

(2) Kelele za honi za magari na pikipiki nadhani kuna maeneo india kama chombo chako cha moto hakina honi huwezi kuendesha Ninaposema kelele za honi ni kelele kweli huwezi amini pikipiki imefungwa honi ya gari

(3) Uchafu jamani ukweli ni kwamba hawa ndugu zetu ni wachafu Ukiingia kwenye mighahawa hii ya hali ya chini kwakweli kama una kinyaa huwezi kula. Nimambo mengi sana nimejionea mwenyewe huko kwa wenzetu lakini sio rahisi kuyaeleza yote hapa.

Mwingine aliewahi fika huko kwa wadosi amwage hapa alichojifunza. Sikunyingine nitaelezea nilichofahamu kuhusu zile Hospitali maaarufu za Appolo Nawasilisha

uko sahihi kabisa 100% kwa kuongeza tu majumba mjini hayajawahi pakwa rangi kama 50 yrs back yaani mji woote ni magofu matupu kasoro tu hotel kubwa kubwa za kimataifa
 
Mie Nikiingiaga ndani ya daladala kuchefukwa... mashule yetu mengi wanafunzi hujisaidia vichakani....
Nikipita mitaa ya Congo hupataga kisunzi...........
Nikiingia uwanja wa maonyesho ya 77 nazuiga tumbo hadi baadae...
Nikipandaga mabasi ya mikoani na bana pua na kuziba masikio.........
Sijui eapoti maji hakuna Hospitali maji na umeme wa kusasua...........


WEWE mf bean. Mumbai ni jjiji lenye wakazi (24m) Zaidi nusu ya idadi ya waTZ.... halafu huduma za tiba zote hupatikana papo hapo!! na kila aina upasuaji na ubadilishaji viungo bila kucheleweshwa na mlolongo wa Siasa... ni pesa yako !!
Jijila Mumbai lina miaka Zaidi 3000 toka lijengwe.... Soko la kwanza la dhahabu duniani ni Mumbai... bandari kuu imeshemiri usafiri wa maji kuunganisha dunia.....

mara ingine anza na Ukweli na haki ya mazuri yenye faida!!
Mie Nikiingiaga ndani ya daladala kuchefukwa... mashule yetu mengi wanafunzi hujisaidia vichakani....
Nikipita mitaa ya Congo hupataga kisunzi...........
Nikiingia uwanja wa maonyesho ya 77 nazuiga tumbo hadi baadae...
Nikipandaga mabasi ya mikoani na bana pua na kuziba masikio.........
Sijui eapoti maji hakuna Hospitali maji na umeme wa kusasua...........


WEWE mf bean. Mumbai ni jjiji lenye wakazi (24m) Zaidi nusu ya idadi ya waTZ.... halafu huduma za tiba zote hupatikana papo hapo!! na kila aina upasuaji na ubadilishaji viungo bila kucheleweshwa na mlolongo wa Siasa... ni pesa yako !!
Jijila Mumbai lina miaka Zaidi 3000 toka lijengwe.... Soko la kwanza la dhahabu duniani ni Mumbai... bandari kuu imeshemiri usafiri wa maji kuunganisha dunia.....

mara ingine anza na Ukweli na haki ya mazuri yenye faida!!
Inaonekana wewe ni muasia mwenye kugushwa na habari hii na kuonyesha hisia zako. Umeshindwa kuji control.
 
Inaonekana wewe ni muasia mwenye kugushwa na habari hii na kuonyesha hisia zako. Umeshindwa kuji control.
Ahsante Mkuu; kweli nawe waonesha umekimbia vita vya kongo na M23... bora utulie hapo shambani kwa bibi !!!
 
Back
Top Bottom