kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,182
hakuna fahari ya kutembea na gari huko BORA nibaki BONGO ,
Hahahahahdhah
Kwa ninayoyasoma hapa naanza kupata kichefuchefu ptuuuu!!!
Wahindi wachafu![]()




hakuna fahari ya kutembea na gari huko BORA nibaki BONGO ,
Hahaha kanjibal huyu siku hizi magabachori wamejaa hadi jfUmenena vyema sana ndugu ila nahisi una asili ya uponjoro wewe maana una full data ya Mumbai, mpaka bethidei yake unaijua.
Pikipiki imefungwa honi ya gari, hiyo ni balaa.
Aisee duh,Mara nyingi sana ukiona mtoto wa kike amejiua wakati mwingine inatokana na kuwa alimpa utamu kijana akiwa na matumaini kuwa atamuoa, akighairi inakuwa ni shida kuolewa maana hatakuwa na Bikra. Ujue India kuna aina mbili za ndoa yaani love marriage na arranged marriage. Kuna wanaooa kwa kujichagulia mchumba na ambao wanatafutiwa mchumba na wazazi wao. Vijana huku ni waungwana na ni wasikivu kwa baba zao, hivyo baba akikataa usimuoe binti fulani huoi. Usisahau kuwa Wahindi hukaa katika kaya moja hivyo ukioa mke wako anakuja kuishi katika kaya yenu. Kama bibi yako yupo hai ndiye boss wa mama yako na mke wako. Akifa bibi, mama anatawazwa kuwa boss. Mpaka mama yako atoweke ndiyo mke wako atakuwa boss. Kwetu utaambiwa bado unakula kwa mama? Niishie hapo ila kama una zaidi
Halafu unajua wanaziuza.?!Ahsante ... Sasa najiuliza hizo nywele zao zitakuwa tani ngapi ?????
eeeh bado wanauza nywele za maiti....wanauzia nani tena?Halafu unajua wanaziuza.?!
mbona hatuambiani hz fursa ndgS
A
Na
Uuh, aisee.. Ni mji peke duniani ambao kuna chui wanaishi mjini. Usipokuwa makini Mumbai utajikuta unaliwa na chui.
. Ni lazima utembee na viatu Mumbai, la sivyo utakuwa unakanyaga mavi ya watu tu muda wote na kuhatarisha maisha yako
. Ukikuta chupi kando kando ya barabara usiiokote, ni ya mtu kaanika.....kule kauka nikuvae imeshamiri sana
. Mara nyingi kwenye migahawa, mteja akila vyombo havioshwi....vinapanguswa tu kwa ajili ya mteja mwingine
. N'gombe na wanyama wengine kuzagaa mitaani bila sababu
. Karibu kila hoyeli kubwa ina makahaba wa kila jinsia kwa ajili ya kuburudisha wateja wao wengi wa makahaba wao ni wavulana na visichana chini ya miaka 15, I couldn't believe it.
Chui kabisa.?!. Ni mji peke duniani ambao kuna chui wanaishi mjini. Usipokuwa makini Mumbai utajikuta unaliwa na chui.
. Ni lazima utembee na viatu Mumbai, la sivyo utakuwa unakanyaga mavi ya watu tu muda wote na kuhatarisha maisha yako
. Ukikuta chupi kando kando ya barabara usiiokote, ni ya mtu kaanika.....kule kauka nikuvae imeshamiri sana
. Mara nyingi kwenye migahawa, mteja akila vyombo havioshwi....vinapanguswa tu kwa ajili ya mteja mwingine
. N'gombe na wanyama wengine kuzagaa mitaani bila sababu
. Karibu kila hoyeli kubwa ina makahaba wa kila jinsia kwa ajili ya kuburudisha wateja wao wengi wa makahaba wao ni wavulana na visichana chini ya miaka 15, I couldn't believe it.
How?Yaani unashangaa hii mkuu? Kuna ile ya tembo wa mjini kuvalishwa speaker ili akilia watu wasikie na kumpisha faster.
No, za walio hai. Kuna namna wanawanyoa halafu wanawalipa halafu kuna namna zinaoshwa, wana anika then wanauza kwenye viwanda vya mawigi nao wana exporteeeh bado wanauza nywele za maiti....wanauzia nani tena?