Niliyoyaona Mumbai(Bombay)

Niliyoyaona Mumbai(Bombay)

Kuna watu wiki iliyopita walinasa kwenye foleni kwa wiki mbili,yaani gari zimepanga msululu hadi umbali wa km 100,kama si mumbai ni indonesia
 
Mimi nilienda last year Mumbai.juu ya honi na u busy Wa mji wao. Sijaona ajali barabarani.Mimi niliona wahindi wakarimu tofauti na nilivyohisi.chakula sikukipenda .na lugha ilikuwa ngumu usafiri wangu ulikuwa bajaji.muendesha bajaji kizungu hajui tunaelekezana kwa vitendo.na mji wao ni rahisi kupotea.
Kumbe huwa unapita na huku ,nikajua we ni jukwaa moja tu
 
Kuna watu wengi sana, karibu million 20. Kuna slums na watu masikini hakuna mfano wake. Jioni ikifika, barabara fulani zinakuwa wazi, watu wanalala. Ila kuna barabara nzuri, traffic inavyo accelerate na wingi wa magari, pikipiki, tukutuku (bajaj), watu, ng'ombe, mbwa na paka, huwezi amini. Kuna sehemu nzuri na safi sana, TZ hakuna. Kama eneo analoishi Amitha Bachan na Ganthi family. Mimi niliishi Powai ni pazuri sana ila ile harufu ya uozo unakumbana nayo tangu AirPort ( welcome to Mumbay- namasta).
 
Mkuu hata mie nasikia kule hakufai kwa jam baadhi ya picha hizi hapa


mumbai-pune.jpg

public-transport-problems-in-mumbai-13-728.jpg


delhi-traffic-pti_650x400_81462290989.jpg


mumbaijam_647_022016022642.jpg
Mimi nilidhani chatu mzee wa kibisa kumbe foleni aluu,naona hilo pori linanuka kinyesinasikia wenzetu hunya popote wakijisikia
 
Bila shaka mleta mada ni chadema, hao ndio kwenye kila kitu huona negative tu
 
I concur with you!!point no.3 jamaa ni wachafu sana na kitu kingine ambacho naweza kukusaidia jamaa wana classes za hali ya juu kama ww ni maskini basi utakufa maskini na kama ww ni tajiri basi utakufa na utajiri wako.Kule opportunity za kufanikiwa ni chache sana na hii inachangiwa na population pressure.
 
Kweli ajali sijaona. Kwa ubize wa magari nilitegemea wapigane pasi balaa ila hamna.

Ukarimu wa wahindi una sababu sio wa bure. Wahindi wanapenda sana udalali. Akikupeleka hotel,dukani, sehemu za kubadilisha pesa anapewa cha juu na yeye.
Hakuna msaada usiokuwa na malengo na msaada hauna risiti.
hata huku si unaona walivyo ...
 
Ninavyowachukia wahindi siku kama ningekuwa prezidaa tayari wangekuwa wamesharud kwao mumbay
 
New Delhi kiukweli ni pazuri na pametulia wana MALLS nzuri na METRO TRAIN ya nguvu.
New Delhi nilipenda wanavyopata mapato yatokanayo na matumizi ya barabara road license wameweka vituo vya kukatia barabarani gari likipita linalipa hapohapo sio huku kwetu mpaka mwende TRA full mafoleni
 
Honi kama vile nyimbo kwao, nilipita Mumbai mwaka jana wakati nakwenda chennai, nikalala pale siku 4 siku 1 niliyoingia mjini sikutamani tena kurudi mpaka siku naondoka,
Hizo Honi mpaka niliugua kichwa, hata mwenyeji wangu nilipomuuliza kanijulisha anasema wao kupiga Honi sio kama labda uko vibaya dereva mwenzake, Ila Ndio udereva wao, hiyo niliona pia Karachi, Pakistan
Kwenye issue za horn wana fujo sana, niliona magari yao mengi yameandikwa kabisa "Blow horn"

f2b8c9c8940f78dca2d97c47181b428d.jpg

7be89e5c3d89b55736661d1aa4b3fcaf.jpg
 
Stesheni ya Treni pale Mumbai Vibaka wa kufikia ka Mtaa wa Congo,haijalishi unatokea wapi hawa vibaka wapo kwa makundi ni hatari sana wakati mwingine.
 
Stesheni ya Treni pale Mumbai Vibaka wa kufikia ka Mtaa wa Congo,haijalishi unatokea wapi hawa vibaka wapo kwa makundi ni hatari sana wakati mwingine.
Wanajua kupigana.?
 
Back
Top Bottom