Mkuu naheshimu sana mawazo yako, umesema kwamba thred ulitumiwa sasa hapa umetuletea umbeya mimi nitakusaidia kukupa hint kidogo za Karatu.
Karatu ni moja ya Wilaya za kupigiwa mfano Tanzania, Dokt Slaa amekuwa Mbunge wa Karatu wakati huo wakazi wake waliamini ili kupatikana maji Karatu inahitajika ije miujiza, Dokt wa ukweli akajitahidi sana na amefanikiwa kuweka mtandao wa maji katika kila kiji, na isingewezekana ktokana na mazingira ya huko kuweka maji katika kila kaya, amefanikiwa kujenga Shule za Sekondari katika kila Kijiji Mkwere anazungumzia ujenzi wa Sekondari za Kata na ujanja huo aliupatia Karatu baada kufanya ziara huko na kusomewa taarifa ya maendeleo ya Wilaya, alipofika Dar es Salaam akakurupuka kujenga Shule katika kila Kata, Halmashauri ya Wilaya ya Karatu chini ya CDM imefanikiwa kujenga chuo cha Ualimu cha Halmashauri na pia chuo cha uuguzi, ni halmashauri pekee nchini ilipata mafanikio makubwa sana na ni ya kupigiwa mfano, hata EL mwaka 2000 alipotakiwa kuenda jimboni Karatu kumshughulikia Dr Slaa aliweza kutoa ushuhuda kwa wana CCM wenzake kwa kuwa hawezi kwenda huko kutokana na Dr Slaa alivyoweza kuwahudumia wananchi wa jimbo lake na maendeleo makubwa yaliyopatikana hayo ni machache lakini yapo mengi ambayo ni ya mfano na kujivunia Karatu
Karatu ni moja ya Wilaya za kupigiwa mfano Tanzania, Dokt Slaa amekuwa Mbunge wa Karatu wakati huo wakazi wake waliamini ili kupatikana maji Karatu inahitajika ije miujiza, Dokt wa ukweli akajitahidi sana na amefanikiwa kuweka mtandao wa maji katika kila kiji, na isingewezekana ktokana na mazingira ya huko kuweka maji katika kila kaya, amefanikiwa kujenga Shule za Sekondari katika kila Kijiji Mkwere anazungumzia ujenzi wa Sekondari za Kata na ujanja huo aliupatia Karatu baada kufanya ziara huko na kusomewa taarifa ya maendeleo ya Wilaya, alipofika Dar es Salaam akakurupuka kujenga Shule katika kila Kata, Halmashauri ya Wilaya ya Karatu chini ya CDM imefanikiwa kujenga chuo cha Ualimu cha Halmashauri na pia chuo cha uuguzi, ni halmashauri pekee nchini ilipata mafanikio makubwa sana na ni ya kupigiwa mfano, hata EL mwaka 2000 alipotakiwa kuenda jimboni Karatu kumshughulikia Dr Slaa aliweza kutoa ushuhuda kwa wana CCM wenzake kwa kuwa hawezi kwenda huko kutokana na Dr Slaa alivyoweza kuwahudumia wananchi wa jimbo lake na maendeleo makubwa yaliyopatikana hayo ni machache lakini yapo mengi ambayo ni ya mfano na kujivunia Karatu