Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 55,030
- 59,682
guy or gay?
offcourse gay...
guy or gay?
Ninavyomuona huyu kashanga anatumia njia ya kuchukiza watu kwa kutumia kigezo cha Slaa ili apate data za Karatu, inawezekana amepewa kazi ya kwenda kuyajua yote hayo either kwa kwenda huko Karatu na per diem labda ameshakula hivyo anatumia ujanja ujanja ili aweze kupata data na kuzipika halafu adanganye kuwa ameenda huko, na naona kama mnaingia kwa trap yake!kwanza leta demarcations za Jimbo la Karatu,areas covered and nearby places ili tuamini unachosema
Ni aibuRe: Niliyoyaona jimboni Karatu![]()
![]()
Hongera Utawala wa CCM kwa miaka 50 ya Uhuru !!!
safari ya kwenda loliondo ilinipa nafasi ya kufika jimboni Karatu na kujionea mambo mengi yaliyonivunja moyo na kunikatisha tamaa kabisa juu ya uwezo wa Dr Slaa! nilikutana na msururu wa kinamama wakiwa na ndoo wakienda sehemu za mbali kutafuta maji,pia kwa macho yangu niliweza kuona foleni ndefu sana za maji hii ilithibitisha kuwa kuna shida kubwa ya maji,pia niliweza kuona watoto wengi wa shule wakiwa hawana viatu miguuni,pia wananchi kwa ujumla walionekana wamekata tamaa ya maisha na nyuso zao zilionyesha hivyo! nikajiuliza hili si ndio jimbo la bwana slaa ambalo aliltumikia kwa miaka mingi,sasa kwanini alishindwa kutatua hizi kero za wananchi?? miaka yote alikuwa anafanya nini kama mbunge? kama jimbo dogo hili limemshinda je nchi angeiweza? nilijiuliza maswali mengi sana ambayo nilishindwa kuyapatia majibu kabisa
(Hii ni email niliyofowadiwa na rafiki yangu Mussa Mosha anayemiliki kampuni ya utalii pale Arusha na mfuasi mzuri wa chadema)
safari ya kwenda loliondo ilinipa nafasi ya kufika jimboni Karatu na kujionea mambo mengi yaliyonivunja moyo na kunikatisha tamaa kabisa juu ya uwezo wa Dr Slaa! nilikutana na msururu wa kinamama wakiwa na ndoo wakienda sehemu za mbali kutafuta maji,pia kwa macho yangu niliweza kuona foleni ndefu sana za maji hii ilithibitisha kuwa kuna shida kubwa ya maji,pia niliweza kuona watoto wengi wa shule wakiwa hawana viatu miguuni,pia wananchi kwa ujumla walionekana wamekata tamaa ya maisha na nyuso zao zilionyesha hivyo! nikajiuliza hili si ndio jimbo la bwana slaa ambalo aliltumikia kwa miaka mingi,sasa kwanini alishindwa kutatua hizi kero za wananchi?? miaka yote alikuwa anafanya nini kama mbunge? kama jimbo dogo hili limemshinda je nchi angeiweza? nilijiuliza maswali mengi sana ambayo nilishindwa kuyapatia majibu kabisa
(Hii ni email niliyofowadiwa na rafiki yangu Mussa Mosha anayemiliki kampuni ya utalii pale Arusha na mfuasi mzuri wa chadema)
Yeye kama mbunge wa pale kwa miaka zaidi ya kumi alipambana vipi na hizo changamoto? huwezi kujivuna utaliletea taifa neema ikiwa kwako yamekushinda! wako wabunge wanaoweza kujivuna kutatua kero mbalimbali sasa yeye alifanya nini miaka yote?
Bahati mbaya mimi sio mwana CHADEMA lakini kuna haja ya kutofautisha nafasi ya Marando kama mwanasiasa na Professional yake. Anamtetea Manji kwa nafasi yake kama mwanasheria ingawaje siamini kama Marando anakubaliana na Ufisadi wa Manji (kama kweli huo ufisadi upo).
Tiba
Yeye kama mbunge wa pale kwa miaka zaidi ya kumi alipambana vipi na hizo changamoto? huwezi kujivuna utaliletea taifa neema ikiwa kwako yamekushinda! wako wabunge wanaoweza kujivuna kutatua kero mbalimbali sasa yeye alifanya nini miaka yote?
![]()
Haya sasa, Badala ya kupeleka mabomba kwenye nyumba za watu anaoyofanya ni haya !!! Shame on you kikwete
Acheni uvivu. Kama maji yameletwa kijijini kwa nini wananchi wasipeleke majumbani kwao. Mwisho mtamtaka Mkulu wa nnji awazalishie watoto kwa wake zenu. Wananchi wanaendelea kwa kufanya kazi si kwa majungu na chuki kwa viongozi.