joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,052
No commentutakuwa mwanamke bila shaka sema unatumia ID ya kiume
No commentutakuwa mwanamke bila shaka sema unatumia ID ya kiume
Mda ulikua tatizo kumbuka chaji pia ilikua inaisha so nlijitahidi niibust kidogo asije kushtuka.mie na swali hapo, Kwanini hukuziangalia kipindi unayo simu mkononi??
Kwa nini mkuu?utakuwa mwanamke bila shaka sema unatumia ID ya kiume
Mkuu mimi ni IT hali niliyoikuta mle napata picha fulani.
Ndio najua kuna kufuta msg pia atakua hawasiliani kwa simu hiyo bali nyingie au hata ana line ya siri au anatumia ya marafiki wenzie.
Au meeting zao ni za kushtuana tuu pale napokua sipo au huwa wamekubaliana watumie lugha gani ili kutimiza mahitajin yao(coded form)
Mkuu zipo nia nyingi sana kumpata ni ngumu maana anajua taaluma yangu so anajua njia ya kujihami.
Ila mazingira niliyoyakuta ni jibu tosha.
Nililiweka swala la ujasiri kwenye mada mkuu.Kua makini kaka, Huo utafiti wako unaitaji Ujasiri kwa mie mwenye roho ya nyepesi siwezi jaribu.
Nimekusoma mkuuNililiweka swala la ujasiri kwenye mada mkuu.