God'sBeliever
JF-Expert Member
- Sep 1, 2015
- 5,788
- 3,068
............
Una uhakika ana mke?Sisi wapelelezi tuliobobea tunaomba kukuliza maswali haya madogo..
1. Unahisi kwanini aliweka lock pattern??
2. Unajua kuwa wanawake wako smart sana kumkichwa wanapocheat??
3. Kutokana na 2 hapo juu, unaweza kuamini zile msg za aliowakubalia kucheat nao amezifuta??
Hili nalo swali... hakyamama.Una uhakika ana mke?
Hapo sawa...Mkuu mimi ni IT hali niliyoikuta mle napata picha fulani.
Ndio najua kuna kufuta msg pia atakua hawasiliani kwa simu hiyo bali nyingie au hata ana line ya siri au anatumia ya marafiki wenzie.
Au meeting zao ni za kushtuana tuu pale napokua sipo au huwa wamekubaliana watumie lugha gani ili kutimiza mahitajin yao(coded form)
Mkuu zipo nia nyingi sana kumpata ni ngumu maana anajua taaluma yangu so anajua njia ya kujihami.
Ila mazingira niliyoyakuta ni jibu tosha.
hakika mkuu, maisha haya sio yakukagua kagua simu ya mwenza wako, hivi ukimwamini tu bila papara zakuchokonoa hautakua safe??Mapenzi ya cku
hizi c ya kushikiana simu.
Mkuu ya kweli.We hujakutana na kubwa, hata courage ya kushika keyboard leo hii usingekuwa nayo. Mpende sana mkeo kwa uamuzi wake wa kuamua kufuta mesej tata na za kishenzi.
Kitu kizuri ulichojifunza ni kujua kumbe marafiki zako na ndugu zako ndio wezi wako pia.... Hii inamaana ukifa, wife atapata wa kumrithi fasta (joke).Nashukuru mkuu, mimi nilikua si justify ila kwa wale wanapenda huu mchezo kazi kwao kama hawana pumzi kwa heri.
Pia mkuu ukiicheza vyema saikolojia ya mtu naona inasaidia sana kupata mambo kibao.
Hahahaaaaa.... mkuu utaua mtu kwa preshaWe hujakutana na kubwa, hata courage ya kushika keyboard leo hii usingekuwa nayo. Mpende sana mkeo kwa uamuzi wake wa kuamua kufuta mesej tata na za kishenzi.