Huko kwenye cm utaumizwa kichwa bure na presure ikukute,,
Kama unataka kumchunguza na kupata uhakika kamili kweli Amebutuliwa au bado Fanya hivi wanavyofanya Wakurya ktk kupata ukweli sahihi.
1: Kanunue ugoro kwa kibibi chochote kinachotumia Ugoro.
2: Siku ukihisi Kama katoka kuchepuka ,, mwite kwa upole na chumbani.
3: Jifanye Kama unampa zoezi LA kuruka ruka kichura huko chumbani akiwa Hajavaa Pichu.
4: Mvutishe kidogo huo Ugoro ulionunua kwa kibibi.
5: Akianza kupiga Chafya mfurulizo basi chungulia chini usawa kwenye Papuchi yke,,
Kwa kupiga kwake Chafya mfurulizo utaona masalia ya mifupa ya Samaki aliyeliwa huko Chumba namba 14 alikotoka.
Hii habari ya kuchunguza cm haifai ukiwa na wasiwasi nenda moja kwa moja kwenye hi Experiment utapata majibu faster.,
Hapo sasa ndo utamuuliza hii mifupa ya Samaki imetoka wapi,, na ni nani kamla huyu Samaki huko ulikotoka,, mambo ya cm achana mayo kabisa hata wao wanajua kuzitumia,, Kama wew ni wa IT pengine hata huyo aliye kula Samaki wako pia ni wa IT mwenzio anajua kumfundisha jinc ya kujilinda ktk ndoa yke.
TUMIA NJIA YA ASILI SK ZOTE ,,UGORO,, ndio msema kweli.