Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Mimi hata ningeitwa na RPC nisingeenda wangenifuata wao home kama watapajua... Hapo hamna kesi hata hivyo unampa nyingi sana kwa mwezi ungesema unampa 20k kila mwezi hakuna police wala mahakama ingekulazimisha ulipe zaidi.. Pesa imekaa kwako zaidi ya mwezi hangaiki kuichukua...
 
Samahani nje ya mada kidogo... utakatishaji wa fedha ukojekoje? Maana nasikia tu ila sijui lolote na ukubwa huu
Kupata pesa ktk njia zisizo halali (njia haramu) kama vile kuua, rushwa, utapeli, ujambaz, kuuza madawa, ugaidi, kukwepa kodi n.k.. yaani kupata pesa ambazo hata ukiambiwa ulete uthibitisho umepataje huwezi kusema... Kwahiyo ili kuziingiza hizo pesa ktk mfumo rasmi/halali ili uwe nazo huru na zitambulike, ndipo unaanzisha biashara unazizungusha, au unajenga nyumba kwa hizo pesa n.k Huku ndio kutakatisha pesa...
 
Sijaona kosa lako apo kwani ulimuomba akutumie
Utakuwa umetokea kwenye jamii ya hovyo na isiyokuwa na maadili bora, yaani bora liende.

Mtu mwenye maadili mema hupaswi kushobokea dezo yaani usichokitolea jasho.

Unapopokea muamala usio wako unapaswa kusubiri au kuripoti panapohusika.

Ukitumia ni sawa na mwizi mwingine.

South Afrika kuna mwanafunzi aliwekewa pesa ndefu kwenye akaunti yake kimakosa akazitoa na kuzifuja.
Muda huu yuko gerezani.

Wiki iliyopita US mtu ameshitakiwa pia kwa kutumia pesa aliyowekewa kwenye account ya bank kimakosa.

Bongo watu ni wa hovyo wako tayari kula wasichopanda na wanajiona wajanja.
 
Ni kosa. Hata ukikuta pesa benki isiyo yako na ukaitumia unashtakiwa.
Nashukuru sina tamaa ya hivyo, bank waliniwekea laki tatu sikuigusa wakaitoa baada ya muda, Voda waliniwekea 700,000 sikuigusa wakaitoa na mwisho tigo wao mchana waliweka 1m. jioni yake wakaongeza 1m zikawa mbili walihangaika kuzitoa hadi siku ya Saba sipendi kupimwa imani ila sina jinsi

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Kupata pesa ktk njia zisizo halali (njia haramu) kama vile kuua, rushwa, utapeli, ujambaz, kuuza madawa, ugaidi, kukwepa kodi n.k.. yaani kupata pesa ambazo hata ukiambiwa ulete uthibitisho umepataje huwez kusema... Kwahio ili kuziingiza hizo pesa ktk mfumo rasmi/halali ili uwe nazo huru na zitambulike, ndipo unaanzisha biashara unazizungusha, au unajenga nyumba kwa hizo pesa n.k Huku ndio kutakatisha pesa...
Alaa kumbe! Kama ni hivyo sijui kama kuna ambaye hajawahi kutakatisha fedha
 
Mimi bwana pamoja na uislamu wangu ila mtu akijichanganya akatuma hela iwe kubwa au ndogo vipi lazima niitoe kwanza... akipiga simu kistaarabu nitamrudishia lakini akijidai mikwara ajue imekula kwake, na atakayenyamaza kimya akisubiri niitolee taarifa mimi basi tutakutana mahakamani (sijui polisi) huko siku atakayonishitaki!
 
Nashukuru sina tamaa ya hivyo, bank waliniwekea laki tatu sikuigusa wakaitoa baada ya muda, Voda waliniwekea 700,000 sikuigusa wakaitoa na mwisho tigo wao mchana waliweka 1m. asubuhi jioni yake wakaaongeza 1m zikawa mbili walihangaika kuzitoa hadi siku ya Saba aipensi kupimwa imani ila sina jinsi

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Utajiri na wewe ndo bye bye tena!
 
Ingeliwa na line ingetumbukizwa shimoni,

Una imani au tuseme wewe ni mwoga
 
Sina tamaa hata kama sina kitu, uaminifu wangu umenipa vitu vingi katika maisha yangu...

Hakika nisingehangaika nayo hata mwaka upite.

Baada ya hapo hakuna aliefatilia, nisingejihangaisha kumtafuta muhusika. Akitokea namlipa ila siwezi kuwapeleka wakina tigo waitumbue.
 
Mimi hata ningeitwa na rpc nisingeenda wangenifuata wao home kama watapajua... Hapo hamna kesi hata hivyo unampa nyingi sana kwa mwez ungesema unampa 20k kila mwezi hakuna police wala mahakam ingekulazimisha ulipe zaid.. Pesa imekaa kwako zaid ya mwezi hangaiki kuichukua...
Kitendo cha kwenda bila shuruti ni namna ya kuwapunguza makali wale jamaa.

Kama wakija kukuchukua kinomanoma lazima wakuweke ndani na upepo wakutoe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuwa umetokea kwenye jamii ya havyo na isiyokuwa na maadili bora, yaani bora liende.

Mtu mwenye maadili mema hupaswi kushobokea dezo yaani usichokitolea jasho.

Unapopokea muamala usio wako unapaswa kusubiri au kuripoti panapohusika.

Ukitumia ni sawa na mwizi mwingine.

South Afrika kuna mwanafunzi aliwekewa pesa ndefu kwenye akaunti yake kimakosa akazitoa na kuzifuja.
Muda huu yuko gerezani.
Wiki iliyopita Us mtu ameshitakiwa pia kwa kutumia pesa aloyowekewa kwenye acvount ya bank kimakosa.

Bongo watu ni wa hovyo wako tayari kula wasichopanda na wanajiona wajanja.
Tunapenda sana njia za mkato

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina tamaa hata kama sina kitu, uaminifu wangu umenipa vitu vingi katika maisha yangu...
Hakika nisingeangaika nayo hata mwaka upite.
Baada ya hapo hakuna aliefatilia,nisingejiangaisha kumtafuta muhusika.akitokea namlipa ila siwezi kuwapeleke wakina tigo waitumbue.
Na ukiipeleka tigo wale watendaji wanafanya yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru sina tamaa ya hivyo, bank waliniwekea laki tatu sikuigusa wakaitoa baada ya muda, Voda waliniwekea 700,000 sikuigusa wakaitoa na mwisho tigo wao mchana waliweka 1m. jioni yake wakaongeza 1m zikawa mbili walihangaika kuzitoa hadi siku ya Saba sipendi kupimwa imani ila sina jinsi

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
We noma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi bwana pamoja na uislamu wangu ila mtu akijichanganya akatuma hela iwe kubwa au ndogo vipi lazima niitoe kwanza... akipiga simu kistaarabu nitamrudishia lakini akijidai mikwara ajue imekula kwake, na atakayenyamaza kimya akisubiri niitolee taarifa mimi basi tutakutana mahakamani (sijui polisi) huko siku atakayonishitaki!
Sheria inakubana uirudishe plus mtu hawezi kukupa mikwara mpaka pale utakapokataa kuirudisha.
 
Sheria inakubana uirudishe plus mtu hawezi kukupa mikwara mpaka pale utakapokataa kuirudisha.
Wengi humu wanachukulia rahis kwa sabab hawajawah kukutana na mazingira hayo,

Lkn kiuhalisia huwez tumiwa pesa kimakosa alaf mwenye pesa yake aamue kufatilia na ufanikiwe kuchomoka hiyo haiwezekan.

Iwe hupokei sim au umevunja lain utapatikana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom