Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 21,748
- 46,671
Wanajibu kwa kiburi na mihemko tu ila akiwa mbele ya desk anaulizwa wewe unafanya kazi gani? Hiyo pesa uliyoila ulilipwa kwa kazi gani? Huku akimuona mwingine anaambiwa vua mkanda vua viatu ingia kule, hicho kiburi hakitakuwepo.Wengi humu wanachukulia rahis kwa sabab hawajawah kukutana na mazingira hayo,
Lkn kiuhalisia huwez tumiwa pesa kimakosa alaf mwenye pesa yake aamue kufatilia na ufanikiwe kuchomoka hiyo haiwezekan.
Iwe hupokei sim au umevunja lain utapatikana tu
Sent using Jamii Forums mobile app