Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Ina maana sikuhizi mtu akituma hela kimakosa unakuwa sio uzembe wake tunapelekana polisi?
Extrovert mbona unataka kuniangusha ndugu yangu. Hata kama mtu amekupa fedha kimakosa, na huku ukijua kabisa yale malipo yamekuja kimakosa, ukizitumia, kisheria unakuwa una makosa. Waliotunga sheria waliona mbali na walijaribu kuziba mianya yote ya watu kujipatia vitu vya bure. Hivi unajua kuwa ukiwa kwenye eg daladala na ukaokota fedha zimedondoshwa kwa bahati mbaya, ukizichukuwa na kuzifanya zako, ni kosa kisheria?
 
Kimasikhara kesi ya dongo na dhamana unakosa[emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kizembe tuu nimepiga mlipa kodi sehemu nimemwambia nitumie kwenye namba hii### halafu jamaa nampigia namwambia nimekosea kwa wakala nitumie huku...😂😂😂 hadi uje kueleweka kwamba haukua na uhusiano nae ni tabu sana...
 
Onyo Kali.... Usijaribu kunitumia Hela kwa makosa.. huko ni kuingilia account yangu bila ridhaa yangu... Nitakufanya HAMNA[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Back
Top Bottom