Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Nilivyotumiwa laki 7.5 kimakosa

Kuna mtu alinitumia laki kupitia crdb kuja mpesa.. akanipigia simu kisha nikamrudishia hapohapo hakuamini akabaki kushukuru maana aliniambia nimrudishie japo kiasi nikamtumia yote.

Halafu kuna jamaa nikamkopesha 5m akapotea.. ila siku inakuja atailipa tu.
Ni vigumu sana kuuchuna au kutupa laini unapopokea pesa kimakosa halafu usidakwe.

Jamaa nilifanya nae biashara akanilipa kwa simu lkn baada ya kuachana nae akasitisha muamala na lain ikatoka hewan.

Nilienda tigo kuwaelekeza baada ya kuangalia rekod zangu wakaniamin na ingawaje sim ya yule jamaa haikuwa hewan waliangalia rekod za siku za nyuma wakanielekeza kuwa kila jion kuna eneo ile namb huwa inasoma na kwa vile jamaa ni mchezaj tukaamin kwa vyovyote itakua ni kiwanja cha mpira.

Bila ajizi nikaenda ile mitaa mida ya jion jamaa nikambumia fulesh tu na tukamalizana kibingwa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishawahi kufanya kaz call center miaka hiyo nilikuwa nazipiga pin balaa number za wahuni wanaopokea miamala kimakosa halafu wanalala nazo mbele nakufungia halafu unakuwa hujui ipo siku unapokea hela halafu sio yako lets say michango ya mgonjwa halafu huwezi kutoa ukipiga huduma kwa wateja unakumbushwa tu unakumbuka mwaka jana ulitumiwa laki tatu ukaenda kunywea chibuku? Ndo hii sasa tunaruka nayo.
 
Back
Top Bottom