- Thread starter
- #141
Maana mdau kanishtua alivyosema kianzio siyo sehemu ya mkopo. Na kama siyo hicho kianzio ni cha nini? Ina maana hela ya kianzio wanapewa bure au🤣🤣🤣🤣🤣 eti kianzio ni sadaka.
Maana mdau kanishtua alivyosema kianzio siyo sehemu ya mkopo. Na kama siyo hicho kianzio ni cha nini? Ina maana hela ya kianzio wanapewa bure au🤣🤣🤣🤣🤣 eti kianzio ni sadaka.
Kwa mfano A05 kwa mkopo ni 411,359. Kianzio ni 80,000. Ukishalia kianzio tunakusajilia simu. Utalipa mkopo wako wa 411,359 kwa miezi 6.Ina maana kama ni hivyo basi hzi tecno hawa jamaa wanauza.kwa mkopo490,000. Huoni kama ni uhuni mkuu na si biashara
Sio uhuni mkuu. Hatukulazimishi kukopa. Ukija tunakuelezea kwa kina kila kitu alafu maamuzi utafanya mwenyewe.Ina maana kama ni hivyo basi hzi tecno hawa jamaa wanauza.kwa mkopo490,000. Huoni kama ni uhuni mkuu na si biashara
Simu ya 240,000 mnatoa kwa.mkopo miezi sita 491,359. Mko sirias au mnatania. Hiyo simu ni biashara gani mteja anaifanyia ya kuweza kumwingizia hiyo hela kwa mda huoKwa mfano A05 kwa mkopo ni 411,359. Kianzio ni 80,000. Ukishalia kianzio tunakusajilia simu. Utalipa mkopo wako wa 411,359 kwa miezi 6.
Kwahiyo hapo utaona hiiyo elfu 80 iko njee ya total loan. Hapo kimsingi jumla ya mkopo ni 491,359.
Mi nafkiri watu wengi wanakuja kuelewa baada ya kuchukua mkopo. Hiyo hela ni nyingi sana mkuu mnaumiza sana watuSio uhuni mkuu. Hatukulazimishi kukopa. Ukija tunakuelezea kwa kina kila kitu alafu maamuzi utafanya mwenyewe.
Wapo wateja wanakuja ukimwelezea gharama zilivyo anasitisha kukopa. Ila 95% huwa wanakopa.
Wabongo wanajilipua wanakopa A55 na total loan ni 2.2M hata hawaogopi. Wanakumbia maisha yenyewe mafupi
PUnguza presha mkuu, mkopo ni hiari. Hakuna anayekufunga kamba shingoni ili ukope.Simu ya 240,000 mnatoa kwa.mkopo miezi sita 491,359. Mko sirias au mnatania. Hiyo simu ni biashara gani mteja anaifanyia ya kuweza kumwingizia hiyo hela kwa mda huo
Mimi ninayo A05s niliambiwa ni laki 6 elf 30 na kadhaa.Maana mdau kanishtua alivyosema kianzio siyo sehemu ya mkopo. Na kama siyo hicho kianzio ni cha nini? Ina maana hela ya kianzio wanapewa bure au
🤣🤣🤣Mkuu mbona kama umepata pa kutapikia nyongo!Simu ya 240,000 mnatoa kwa.mkopo miezi sita 491,359. Mko sirias au mnatania. Hiyo simu ni biashara gani mteja anaifanyia ya kuweza kumwingizia hiyo hela kwa mda huo
Hata mimi iliwekwa mkuu ila mdau yeye ankataa kuwa kianzio hakiusiani na déniMimi ninayo A05s niliambiwa ni laki 6 elf 30 na kadhaa.
Kianzio ni 120,000 nilipolipa kianzio kiliwekwa moja kwa moja kwenye miamala yangu katika App ya watu na sehemu ya deni ikasoma laki 5 elf 16 na shilingi kadhaa.
Kidogo nimeona hawa jamaa siyo wastaarabu hata kama unamkopesha mtu usimnyonye kiasi hicho🤣🤣🤣Mkuu mbona kama umepata pa kutapikia nyongo!
Mkuu hujanijibu boxer 150x unalipia 64,500 wiki, kwa miezi mingapi.PUnguza presha mkuu, mkopo ni hiari. Hakuna anayekufunga kamba shingoni ili ukope.
Kwa mfano A05 kwa mkopo ni 411,359. Kianzio ni 80,000. Ukishalia kianzio tunakusajilia simu. Utalipa mkopo wako wa 411,359 kwa miezi 6.
Kwahiyo hapo utaona hiiyo elfu 80 iko njee ya total loan. Hapo kimsingi jumla ya mkopo ni 491,359.
Kwa maelezo yake hapo juu ni kwamba tunazungumza lugha moja ila tofauti ni matamshi tu.Hata mimi iliwekwa mkuu ila mdau yeye ankataa kuwa kianzio hakiusiani na déni
Mkuu mbona huku tulishaongea? Tatizo huku dharauTamaa na uzembe, lazima uingie kwenye mtego wa wajanja!
Mimi ni A 15 bei yake kwa cash ni nne na nusu ila kwa mkopo malipa nane na nusu.
kwa hiyo mkuu tukuiteje!!!Na nimekopa bajaji ya million kumi narudisha million 22 cash na hakuna kurudi nyuma.