Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

Binafsi ninakauli mbiu kwa mahitaji yangu asilimia 95.... if I can't buy it in cash I can't afford it.

Naheshimu mawazo ya wanaonunua hivi vitu kwa mkopo.

Simu siwezi nunua kwa mkopo.
Gari siwezi kununua kwa mkopo.
Furniture siwezi nunua kwa mkopo.

Kama nahitaji kununua gari nitasubiri mtu afulie aniuzie gari. Siwezi kwenda bank nikachukua mkopo wa kununua gari, simu, furniture, kujenga nyumba n.k

Zaidi ya asilimia 70 ya mamilionea duniani wanaendesha second hand cars.
Hizi asilimia umetoa wapi?
 
Tumieni hizi APK kwenye pc zenu mtoe hizo security plug
Cha kwanza download file la simu unalotaka kutoa security plug
Pitia hapa


Hatua ya pili ingia hapa chukua hii ikikushinda lipia unlock tool au tafuta iliyo cracked
Mkuu niidonload kwenye sim au kwenye PC kwanza?
Tumieni hizi APK kwenye pc zenu mtoe hizo security plug
Cha kwanza download file la simu unalotaka kutoa security plug
Pitia hapa


Hatua ya pili ingia hapa chukua hii ikikushinda lipia unlock tool au tafuta iliyo cracked
Mkuu niidonload kwanza kwenye sim au kwenye PC?
 
Kianzio sikinakuwa ndani ya bei mkuu. Kwa mfano simu bei 500000 ukitoa kianzio 80000 sikinajumuishwa kwenye bei ina maana hapo mkopo wako unakuwa 420,000
Hapana mkuu. Kianzio sio sehem mkopo uliobaki.
 
Kianzio sikinakuwa ndani ya bei mkuu. Kwa mfano simu bei 500000 ukitoa kianzio 80000 sikinajumuishwa kwenye bei ina maana hapo mkopo wako unakuwa 420,000
Hapana mkuu. Kianzio sio sehem mkopo uliobaki.
Mkuu pengine hujamwelewa mkuu ama mimi ndiyo sijaelewa.

Yaani ukiambiwa simu hii kwa mkopo ni laki 5, kianzio ni shilingi elfu 50 maana yake deni itakuwa ni laki 4 na elfu 50? Kwa uelewa wangu jibu ni ndiyo.
 
Back
Top Bottom