tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,153
- 27,729
Kweli kuna baadhi ya wanawake wa ajabu wanabambikiza wanaume zaidi ya mmoja mimba. Kuna mwanamke mmoja kawabambikiza wanaume wawili mimba na wote wanalea mtoto aliyezaliwa. Hawajuani na hawajawahi kuonana. Mwanamke ametengeneza kadi mbili za kliniki zenye majina mawili tofauti....anapiga hela za matunzo kutoka kwa wanaume wote wawili. Sijui hatima yake itakuwa nini. [emoji32][emoji32][emoji32][emoji32]Mtoto niimani mwanamke akishakwambia kuwa mimba/mtoto niwako basi huna haja yakukataa kwamaana amekuamini na ndiomana amekukabidhi kiumbe. Wabaya wale vigeugeu mimba mnapewa wanaume zaidi yammoja ni hatariii sana
Nayaona magunia mawili ya mkaa yanaandaliwa na mwanaume aliyetapeliwa mimba. Hivi wanawake huwa wanataka nini?