Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,640
- 9,263
Kuna mwanamke mmoja alikuwa ana wanaume 4. Akapata mimba, akampelekea wa 1 akakataa, 2 naye akakataa, 3 akakubali (Mwanamke akadai anasura mbaya hakumpenda) na 4 naye akakataa. Ikibidi mwanamke alee mtoto peke yake.Mtoto niimani mwanamke akishakwambia kuwa mimba/mtoto niwako basi huna haja yakukataa kwamaana amekuamini na ndiomana amekukabidhi kiumbe. Wabaya wale vigeugeu mimba mnapewa wanaume zaidi yammoja ni hatariii sana
Unafikiri kosa ni la nani? Ukiona mwanamke mlikuwa mnasex kwa condom halafu siku anakulazimisha umpige peku au anakulazimisha sex hata atumie gharama zake. Ujue hapo unapewa mimba siyo yako. Wewe jidai mahaba niue ulee watoto wasiyo wako. Mwanamke asiyejitambua anapigwa popote pale washikaji