Ilinitokea mara moja,nilikutana na mrembo tukaanza mawasiliano tukahave sex,ila lengo lake nilijua maana kila siku yeye ni kutaka hela tu hamna mambo ya msingi, akaniona mbahili akanipiga chini kila mtu akaendelea kivyake.
Baada ya miezi nne ikatokea siku akanitafuta na kuniambia nimemiss mambo yako kama upo kwako nakuja(nikajiuliza inakwaje wakati kila siku huwa namforce leo anataka mwenyewe?)shetani mbaya nilikuwa nakunywa bia zangu mbili,nikamwambia njoo,akaja na rafiki yake nikawapatia vinywaji hadi wamelewa.Nikaenda kuoga,nikasikia anamropokea mwenzake "baada ya lisaa we ondoka yule jamaa si kakataa hii mimba lazima nimsingizie huyu nalala huku huku leo".
Mwenzake aliondoka yeye akabaki,yaani mi niliposikia hivo hata mood ya sex sikuwa nayo,tulipoanza kulala akaanza romance gafla kashavua kyupi pembeni,nikamwambia leo sina mood kabisa ya sex,dah alilazimisha mi nikagoma kabisa.Kesho yake anataka kubaki tena nikamwambia mi sasa hivi nina mtu si uliniacha,anakuja mda si mrefu please asikukute.
Aisee hakunitafuta tena hadi leo na analea mimba yake mwenyewe.Sasa je nisingesikia wanaropoka na tukasex ,angerudi baada ya mwezi ningepokea matokeo kwa mikono miwili.