Mimi Mke Wangu Wakati Anaanza Kliniki Alipima Akaonekana HIV-.Kwahiyo Mimi Sikua Na Ulazima Tena Wa Kupima.
Mimi Mke Wangu Wakati Anaanza Kliniki Alipima Akaonekana HIV-.Kwahiyo Mimi Sikua Na Ulazima Tena Wa Kupima.
Ukimwi haupo,ulisha go devolutionNdo maana nikaleta huu ushuhuda hapa, watu wajifunze.
Mimi Mke Wangu Wakati Anaanza Kliniki Alipima Akaonekana HIV-.Kwahiyo Mimi Sikua Na Ulazima Tena Wa Kupima.
Kule kwenye ule uzi unaofanana na huu uliomba msamaha kwa maneno kama hayahaya!!huku tena umerudia kile kile,angalia sana kila anayejikweza atashushwa,na anayejishusha atakwezwa.unafikiri ambao hatusuuzi rungu zetu ovyo ovyo ni wajinga!!! vuna ulichokipanda. vyoo.!
Achana na ngoma, achana na pressure ya kupima. Ukiwa unasubiri majibu unatamani ardhi ipasuke usishuhudie masikio yako...!
Lakini ukijua status yako utaishi na amani moyoni, iwe negative au positive!!!
Weeee hakuna kitu kigumu kama kusubiria majibu hata kama ushapima mara 10