Nilivyoishi na UKIMWI kwa wiki mbili

Nilivyoishi na UKIMWI kwa wiki mbili

Maamuzi magumu.....sasa toa ushauri nasaha ili na vijana wengine wawe na ujasiri wa kupima vvu.
 
Tuanze na huyo RETROVIRUS ambaye umesema ndiye AIDS kwamba alikuwepo toka mwanzo wa ulimwengu na alikuwa hana madhara na hana madhara kama unavyodai ww!
Iweje leo huyo RETROVIRUS (AIDS) alete madhara makubwa kwa kuua watu?Mbona hapo mwanzo hakuua?
Kwamba RETROVIRUS is not new? So what's new here?

retrovirus sio Aids, aids ni upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) na retrovirus wanapatikana katika mwili wa binadamu, mbwa, paka, panya, n.k na kuingia kwao mwilin ni kwa njia ya asili other artificial ways it's a very rare case na pia hawa retrovirus hawana madhara yoyote ktk mwili ila dhana ya hawa kuwa na madhara kumeibuka baada ya madai ya R. Gallo kudai huyo retrovirus anasababisha upungufu wa kinga mwilini na kuanzisha dawa ya kumthibiti ambayo sasa ndio Arvs na ambazo zinashambulia kinga ya mwili na kukuacha waz kwa wagonjwa nyemelizi. Kwahiyo kipya ni Arvs na ndio chanzo cha vifo pia ujue mtu unaweza kuwa na ukimwi na hauna Hiv+ ukitaka kujua zaid google side effect za Arvs
 
Hapo red: Hiyo RETROVIRUS ambayo haina madhara, ambayo hapo awali unasema haikudhuru watu, ni kitu gani kimetokea miaka hii inawadhuru watu???

Jibu lako hilo hapo chini.

retrovirus sio Aids, aids ni upungufu wa kinga mwilini(ukimwi) na retrovirus wanapatikana katika mwili wa binadamu, mbwa, paka, panya, n.k na kuingia kwao mwilin ni kwa njia ya asili other artificial ways(mfano ngono bila kinga/sex) it's a very rare case na pia hawa retrovirus hawana madhara yoyote ktk mwili ila dhana ya hawa kuwa na madhara kumeibuka baada ya madai ya R. Gallo kudai huyo retrovirus anasababisha upungufu wa kinga mwilini na kuanzisha dawa ya kumthibiti ambayo sasa ndio Arvs na ambazo zinashambulia kinga ya mwili na kukuacha waz kwa wagonjwa nyemelizi. Kwahiyo kipya ni Arvs na ndio chanzo cha vifo pia ujue mtu unaweza kuwa na ukimwi na hauna Hiv+ ukitaka kujua zaid google side effect za Arvs

Safi mkuu Mr. Mangikwa mchango wako,nitakusaidia link ambazo watu wanaweza kurejea ili kuthibitisha maelezo yako hasa hapo kwenye red.

1.10 scientific arguments why HIV can not cause AIDS(Dr.Peter Duesberg):
https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

2.ARVs fatal side effects:
(a) https://www.youtube.com/watch?v=GokUme9x07E
(b) Hii ni web ambayo CDC ya marekani(ambayo hao wenyewe huitumia,angalia huyo MWEWE hapo chini ya web page).Nenda kwenye WARNING halafu soma kwa makini hizo warnings.
Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo

Karibuni.


 
Kweli NGOMA ipo ingawa imepungua kwa kiasi kikubwa kulinganisha na miaka ya nyuma iliyopita
 
Jibu lako hilo hapo chini.



Safi mkuu Mr. Mangikwa mchango wako,nitakusaidia link ambazo watu wanaweza kurejea ili kuthibitisha maelezo yako hasa hapo kwenye red.

1.10 scientific arguments why HIV can not cause AIDS(Dr.Peter Duesberg):
https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

2.ARVs fatal side effects:
(a) https://www.youtube.com/watch?v=GokUme9x07E
(b) Hii ni web ambayo CDC ya marekani(ambayo hao wenyewe huitumia,angalia huyo MWEWE hapo chini ya web page).Nenda kwenye WARNING halafu soma kwa makini hizo warnings.
Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo

Karibuni.



Mkuu hujajibu swali langu.... kwanini hawa retrovirus walete madhara miaka hii wakati kipindi cha nyume umesema hawakuwa na madhara.....
 
Mkuu hujajibu swali langu.... kwanini hawa retrovirus walete madhara miaka hii wakati kipindi cha nyume umesema hawakuwa na madhara.....

Asprin ondoa uvivu na penda kuwa na tabia ya kupenda kusoma ndugu yangu, Mr. Mangiamejibu vizuri sana swali lako,si lazima nikujibu mimi.Yeye amekujibu ila mimi nimeongezea na link kuthibitisha alichojibu.Yaani umeni-quote vizuri tu lakini hujasoma ulicho-quote,kama ungesoma ulicho-quote nina uhakika usingeniuliza.
Sasa nenda uliponi-quote,halafu ingia kwenye link nilizotoa,kuna video mbili,ya kwanza ni 30 minutes,ya pili ni 6 minutes,link yenye website hutatumia zaidi ya 5 minutes,jumla ni takribani 40 minutes.Hutapoteza muda mwingi,haya fuatilia sasa.
 
Kweli NGOMA ipo ingawa imepungua kwa kiasi kikubwa kulinganisha na miaka ya nyuma iliyopita

Jitahidi kufuatilia na sisi wengine tumeandika nini,labda unaweza kuondokana na dhana hiyo hatari na ya kizamani sana.Kwa jamii inayopenda kufuatilia mambo kwa undani,HIV/AIDS sasa hivi imebaki historia tu na sasa tunaangalia masuala muhimu ya kimaendeleo tumesahau kuhusu ugonjwa huu feki baada ya kugundua ukweli ulivyo.Jitahidi kujua namaanisha nini kwa kufuatilia post zangu.
 
Jibu lako hilo hapo chini.



Safi mkuu Mr. Mangikwa mchango wako,nitakusaidia link ambazo watu wanaweza kurejea ili kuthibitisha maelezo yako hasa hapo kwenye red.

1.10 scientific arguments why HIV can not cause AIDS(Dr.Peter Duesberg):
https://www.youtube.com/watch?v=pB8g0b-FkW0

2.ARVs fatal side effects:
(a) https://www.youtube.com/watch?v=GokUme9x07E
(b) Hii ni web ambayo CDC ya marekani(ambayo hao wenyewe huitumia,angalia huyo MWEWE hapo chini ya web page).Nenda kwenye WARNING halafu soma kwa makini hizo warnings.
Tenofovir Disoproxil Fumarate (Viread) | Patient Version | AIDSinfo

Karibuni.



shukran kwa uchambuz zaid
 
Back
Top Bottom