Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,097
- 43,309
Mimi sasa nimekuwa muumini wa Serikali Moja; Moja ya kwao na Moja ya kwetu, tukutane Umoja wa Mataifa kama ndugu wamoja! Undugu haung'ang'aniwi na ndugu akishalalamika kuwa unamzibia ni wakati wa kumtakia kila la kheri... Niliupenda Muungano lakini Mungu ameupenda zaidi..