Nilitoa....Nimerudisha


Kutoa na kurudisha nini mbona mafumbo wewe Salimia wewe.....................
 
Kwahiyo mmekonkludi kuwa tuliite daraja la kikwete sio hata kama hela tumekopa korea...au?
 
kha hii sredi ndo inahusu nini we binti Lizzy?:mod:
 
Inaonesha huyo uliyenaye sasa hukumpenda na wala humpendi; bora uachane naye anaye anayemlizisha.
 
Haya, vijino pembe wametia fitna kwa Mods mpaka avatar yangu binafsi imetolewa, kisa **** langu linawakosesha raha vimbaumbau kama Lizzy. Sasa jicho je?? Nalo mtalilalia mlango wazi? mwadhani la kichina unh? Mwanamke jicho bwana! si wengine hapa mimacho imewatoka kodo utadhani chula kabanwa na mlango..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…