kwa nini ulikubali kuachika?ungemshikilia kwa mbinu zozote zileKwa maombi ya wengi nimeamua kuludisha. Na pia kero za Lizzy zmenifanya nirudishe!! Kwa nini nisifanye kitu moyo unapenda? Hilo ni moja.
La pili.......Sifurahishwi na hali ya pale ninapofanya tendo la ndoa, simalizi mpaka nimfikirie mpenzii wangu wa zamani. Inanisumbua hata sijui nifanyeje kwakweli.
Wakati mwingine hata DHL huwa inautema mzigo!kwa nini ulikubali kuachika?ungemshikilia kwa mbinu zozote zile
We nawe huna jipya...
Kwa maombi ya wengi nimeamua kuludisha. Na pia kero za Lizzy zmenifanya nirudishe!! Kwa nini nisifanye kitu moyo unapenda? Hilo ni moja.
La pili.......Sifurahishwi na hali ya pale ninapofanya tendo la ndoa, simalizi mpaka nimfikirie mpenzii wangu wa zamani. Inanisumbua hata sijui nifanyeje kwakweli.[/ QUOTE]
Which such kind of Avatar what do you portray???
Mazee upo??Wewe unalo?
Kwa maombi ya wengi nimeamua kuludisha. Na pia kero za Lizzy zmenifanya nirudishe!! Kwa nini nisifanye kitu moyo unapenda? Hilo ni moja.
La pili.......Sifurahishwi na hali ya pale ninapofanya tendo la ndoa, simalizi mpaka nimfikirie mpenzii wangu wa zamani. Inanisumbua hata sijui nifanyeje kwakweli.
Mazee upo??
Kwa maombi ya wengi nimeamua kuludisha. Na pia kero za Lizzy zmenifanya nirudishe!! Kwa nini nisifanye kitu moyo unapenda? Hilo ni moja.
La pili.......Sifurahishwi na hali ya pale ninapofanya tendo la ndoa, simalizi mpaka nimfikirie mpenzii wangu wa zamani. Inanisumbua hata sijui nifanyeje kwakweli.
Which such kind of Avatar what do you portray???
Helmet ya nini tena kwenye gari??
Mhh si uachane tu na uliyekuwa nae ya nini kujitesa na wakati hakuridhishi?
Nisingekua nalo asingenitajakwenye thread yake na wewe usingehangaika kunijibu....!Wewe unalo?
Da'Lizzy wewe una lipi jipya??We nawe huna jipya...
Nisingekua nalo asingenitajakwenye thread yake na wewe usingehangaika kunijibu....!
Dada leo mboni mkali sana? Kujibiwa tu unachimba Biti la kufa mtu!!! wee kibokoNisingekua nalo asingenitajakwenye thread yake na wewe usingehangaika kunijibu....!