goldcall
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 394
- 535
Kichwa chajieleza, nimeshuhudia kwa macho yangu mgonjwa akijirusha ghorofa ya juu sana, pale kairuki hospital, na kufika chini mifupa ikiwa inaonekana.
Nilishangaa kuona manesi wanaulizana kumbeba yule mgonjwa kumuweka katika gari ya wagonjwa.
Kama dakika tano hivi yule mgonjwa alipoteza maisha,
Hospitali ya Kairuki naona kabisa kuna shida mahara, sio pazuri naona Pana harufu ya kifo kifo tu, uzembe na kukosa umakini.
Nilishangaa kuona manesi wanaulizana kumbeba yule mgonjwa kumuweka katika gari ya wagonjwa.
Kama dakika tano hivi yule mgonjwa alipoteza maisha,
Hospitali ya Kairuki naona kabisa kuna shida mahara, sio pazuri naona Pana harufu ya kifo kifo tu, uzembe na kukosa umakini.