Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
- Thread starter
- #21
Eee bwn hata ka-Uzi katamu !
Unajua kwa nini ?
Kwa sababu ni mtambuka kuanzia hao waliotuzaa nawao pia walikua watoto !
Ndiyo kusema hamna aliyekwepana na mambo ya ujinga wa kitoto.
Natamani ni'force members wote wachangie huu uzi mi nitoke kwanza maanake nimekaangiwa mayai na vijirost naona vinapoa, acha nipeleke pwani then nirejee
Kweli mkuu na kanatukumbusha very far back... Lol