Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Muda mwingine nadiriki kusema Mungu huwa ana upendeleo..!
 
ndugu zangu mwenye uzoefu wa biashara ya mtumba kwa mkoa wowote ambao unatoa sana bidhaa hii naomba anijulishe na anipe ni nguo gani naweza anza nazo.
 
We sema tu binadamu kwa ujumla.

Wala sio wanaume peke yao.
Haya mapenzi ya kuwaza bettering partners ndo upendo inafanyika tu pande zote.
Nimeangalia upande kulingana na alichosimulia mtoa mada "yeye ni mwanaume" hata kama angekuja mdada nae angesimulia kama hivyo basi niangalia pia upande wa wanawake.
 
Kama huo ujumbe huwa mnasemea humu basi haufikii walengwa
 
Pole ndugu, kuna jamaa yangu alikuwa anamla demu posho ya wiki demu, yalio mkuta acha kabisa hivi viumbe tuishi nao kwa akili kubwa
 
Pole sana chapati mbili na chai moja
 
Mkuu chapati 2, pole sana
Vipi tangu upate matatizo ulishawahi kukaa kuongea na NAIMA,
 
Pole sana inasikitisha sana,
Ila jamani mchumba hasomeshwi,,
Pia mpenzi or mtarajiwa hafunguliwi miradi ,,
Hayo yote yafaa yatekelezwe na wazazi wake sometimes wanaume tuache viherehere tutaishia jera kwa kufanya matukio ya ajabu kisa kulipa visasi
 
Ukweli mchungu huu
 
Pole sana,
Maisha yana mitihani mingi
Najua umejeruhiwa moyo na nafsi,.lakini Mungu ni mponyaji na mfariji mkuu na tena ana jua sababu ya kila jambo ambalo tunalipitia maishani

Mkabidhi Mungu na umwombe akuwezeshe kusamehe na kusahau kumbukumbu mbaya zinazokupa huzuni ndani ya moyo wako

Ukisamehe, amini kwamba Mungu atakufungulia mlango mwingine wa baraka na furaha,hali ya ulemavu isikufikirishe inaweza mpata binadamu yeyote

Jambo moja, kwa sasa unaweza kufanya kazi gani au shughuli gani ili uweze kuendesha maisha yako pasipo kumtegemea mtu? Pengine una wazo na huna mtaji, naamini wasamaria wema hapa tunaweza kushikamana tukakuwezesha chochote kitu ili uweze kusimama tena

Mungu ni hakimu mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…