Mzee acha kumsingizia Mungu. Mwenyezi Mungu alitupa akili na utashi ndani yake, na akaja kutuagiza tuishi nao kwa akili pia . Sasa wewe mwenyewe maisha bado yalikua hayajatengamaa ukaona haitoshi wewe ndio wewe unaakili zaidi ya wazazi wake na kujipa majukumu yasiyo yako ya kuanza kukopa ili umridhishe yeye na wakati huo huyo Mwenyezi Mungu mwenyewe katuagiza kuwa wema usizidi kipimo, sasa hapo bwana mkubwa wa kumlaumu nani.........?mkuu laiti ningejua kesho yangu nisingeomba kukutana nae ila ni Mungu ndio anaeijua kesho yetu.
Nafahamu ni ngumu mno lakini ninakuomba jitahidi umsamehe.dada yangu najitahidi kuwa na moyo wa kusamehe ila hali yangu ya ulemavu na majuto yananiumiza na kunitesa mimi siwezi sahau na kusamehe nimejitahidi nimeshindwa
Malipo ni hapahapa dunian worry out bro
But pole sana mkuu ni painful story
Daaah pole sana ndungu! Mapenzi haya jamani wanaume sijui tumelogwa na nani unamfunguliaje biashara demu tu tena kwa hela ya mkopo bank? fanya hivi kwa mkeo tu sio kimada madhara yake ni makubwa hawa viumbe ni wa kuishi nao kwa akiri sana otherwise ni mateso ya maisha kama haya, Kumsomesha mwanake kabala hujamuoa,kumfungulia biashara, acha huo upuuuzi utakuja kujuta, au kumpa mavitu ya dhamani kuliko uwezo wako kwa kutaka kujionyesha wewe mwanaume ni hatari kwa afya yako .
AmenDaaaah pole sana ila Mungu yupo upande wako utashinda tuu endelea kumtumain
Pole sana kama ni kweli
Ifikie wakati sasa wanaume tujitambue, kwani wewe sio wa kwanza kupatwa na mkasa kama huo kwenye maisha, kabla ya kuangalia utamsaidiaje mwanamke umpendae ili kuweza kujikwamua kwenye lindi la umaskini, basi ni vyema kuanza kujipanga na kujiimarisha mwenyewe katika maisha yako kwa kuwa na mikakati na mipango imara.
Hii itatusaidia pale ambapo uliejitolea kumsidia hata asipokujali basi maisha yako hayatotetereka wala kuyumba.
Wanaume tunajiona tuna upendo kiasi kwamba tunajisahau kupenda maisha yetu na kuhamishia upendo wote na kutaka kuwajengea maisha bora tuwapendao, hii tabia mara nyingi huwa inatucost pale tunapopatwa na majanga kwani hao tunaowajengea upendo huwa hawana upendo wa dhati kwetu.
Tuachane na hawa viumbe, wajengewe upendo na familia zao tusiwe watu wa kutumika kama daraja na badala yake mwanamke baada ya kupata mafanikio kiasi wanatuona sisi kama takataka. Na endapo tukipatwa na matatizo ndio wanatuacha njiani kama hawatujui na badala yake ana move on kuelekea kwa mwengine.
Tujifunze kutokana na makosa ya watangu wetu, naamini hata wewe ulishawahi kusikia/kuona mwengine kupatwa na mkasa kama huo kabla yako lakini hukujifunza na kuhisi hautakuwa miongoni mwa watakaopatwa na mkasa kama huo.
Pole sana
Asante mkuuMzee acha kumsingizia Mungu. Mwenyezi Mungu alitupa akili na utashi ndani yake, na akaja kutuagiza tuishi nao kwa akili pia . Sasa wewe mwenyewe maisha bado yalikua hayajatengamaa ukaona haitoshi wewe ndio wewe unaakili zaidi ya wazazi wake na kujipa majukumu yasiyo yako ya kuanza kukopa ili umridhishe yeye na wakati huo huyo Mwenyezi Mungu mwenyewe katuagiza kuwa wema usizidi kipimo, sasa hapo bwana mkubwa wa kumlaumu nani.........?
Cha kufanya kaa chini jikubali kuwa wewe ndio fala na ufala wako ndio ulio pelekea yote hayo na hakuna wa kumlaumu.
Na siku nyingine uwe mwalimu mzuri kwa wadogo zako wa kiume kuwa mwanaume tengeneza maisha yako kwanza na pesa unazo pata ni kwa ajiri yako na wanao hitaji msaada wako tu.
Hapa naweza kukuonea huruma lakini kumbe wewe ulipo pata hiyo kazi ndio ilikua chanzo cha kuwatelekeza wazazi wako na kuja kupenda malaya na hayo ndio malipo yako baada ya huzuni za wazazi wako.
Bro you have no one to blame except for.