Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Daaah pole sana ndungu! Mapenzi haya jamani wanaume sijui tumelogwa na nani unamfunguliaje biashara demu tu tena kwa hela ya mkopo bank? fanya hivi kwa mkeo tu sio kimada madhara yake ni makubwa hawa viumbe ni wa kuishi nao kwa akiri sana otherwise ni mateso ya maisha kama haya, Kumsomesha mwanake kabala hujamuoa,kumfungulia biashara, acha huo upuuuzi utakuja kujuta, au kumpa mavitu ya dhamani kuliko uwezo wako kwa kutaka kujionyesha wewe mwanaume ni hatari kwa afya yako .
 
Pole sana kama ni kweli
Ifikie wakati sasa wanaume tujitambue, kwani wewe sio wa kwanza kupatwa na mkasa kama huo kwenye maisha, kabla ya kuangalia utamsaidiaje mwanamke umpendae ili kuweza kujikwamua kwenye lindi la umaskini, basi ni vyema kuanza kujipanga na kujiimarisha mwenyewe katika maisha yako kwa kuwa na mikakati na mipango imara.

Hii itatusaidia pale ambapo uliejitolea kumsidia hata asipokujali basi maisha yako hayatotetereka wala kuyumba.

Wanaume tunajiona tuna upendo kiasi kwamba tunajisahau kupenda maisha yetu na kuhamishia upendo wote na kutaka kuwajengea maisha bora tuwapendao, hii tabia mara nyingi huwa inatucost pale tunapopatwa na majanga kwani hao tunaowajengea upendo huwa hawana upendo wa dhati kwetu.

Tuachane na hawa viumbe, wajengewe upendo na familia zao tusiwe watu wa kutumika kama daraja na badala yake mwanamke baada ya kupata mafanikio kiasi wanatuona sisi kama takataka. Na endapo tukipatwa na matatizo ndio wanatuacha njiani kama hawatujui na badala yake ana move on kuelekea kwa mwengine.

Tujifunze kutokana na makosa ya watangu wetu, naamini hata wewe ulishawahi kusikia/kuona mwengine kupatwa na mkasa kama huo kabla yako lakini hukujifunza na kuhisi hautakuwa miongoni mwa watakaopatwa na mkasa kama huo.

Pole sana
 
mkuu laiti ningejua kesho yangu nisingeomba kukutana nae ila ni Mungu ndio anaeijua kesho yetu.
Mzee acha kumsingizia Mungu. Mwenyezi Mungu alitupa akili na utashi ndani yake, na akaja kutuagiza tuishi nao kwa akili pia . Sasa wewe mwenyewe maisha bado yalikua hayajatengamaa ukaona haitoshi wewe ndio wewe unaakili zaidi ya wazazi wake na kujipa majukumu yasiyo yako ya kuanza kukopa ili umridhishe yeye na wakati huo huyo Mwenyezi Mungu mwenyewe katuagiza kuwa wema usizidi kipimo, sasa hapo bwana mkubwa wa kumlaumu nani.........?

Cha kufanya kaa chini jikubali kuwa wewe ndio fala na ufala wako ndio ulio pelekea yote hayo na hakuna wa kumlaumu.

Na siku nyingine uwe mwalimu mzuri kwa wadogo zako wa kiume kuwa mwanaume tengeneza maisha yako kwanza na pesa unazo pata ni kwa ajiri yako na wanao hitaji msaada wako tu.

Hapa naweza kukuonea huruma lakini kumbe wewe ulipo pata hiyo kazi ndio ilikua chanzo cha kuwatelekeza wazazi wako na kuja kupenda malaya na hayo ndio malipo yako baada ya huzuni za wazazi wako.

Bro you have no one to blame except for.
 
dada yangu najitahidi kuwa na moyo wa kusamehe ila hali yangu ya ulemavu na majuto yananiumiza na kunitesa mimi siwezi sahau na kusamehe nimejitahidi nimeshindwa
Nafahamu ni ngumu mno lakini ninakuomba jitahidi umsamehe.

Kwenye kumsamehe vitu vingi sana vitafunguka upande wako bila kutegemea.
Kilicho moyoni mwako kwa sasa ni uchungu.achilia uchungu kwa kumsamehe uambie moyo wako una nafasi ya kufurahia maisha kwa mara nyingine.amini kila kitu hutokea kwa sababu mshukuru Mungu kwa kila kilichotokea kwenye maisha yako ndugu yangu
 
Pole sana Chapati 2 amini Mungu yupo pamoja na yote hayo unayopitia. Mungu ametuficha mengi mno ila kwa yote yanayotokea yapo chini ya uweza wake

Pia usijione umefika mwisho wa maisha yako ila ona kwamba huu ndio mwanzo wa maisha yako na bado unaweza kuwa bora. Mungu akupe imani na ustahimilivu
 
Mpokee YESU kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yako, utapata faraja ambayo hatuwezi kukupa. Kingine piga moyo konde na maisha lazima yaendelee. Hayo yaliyokupata naamini ni mipango ya MUNGU na kama sio mipango ya MUNGU ni MUNGU ndio karuhusu yakupate angeweza pia kuzuia hayo yasitokee. Songa mbele kila kitu kinatokea kwasababu, usijilaumu, jikubali songa mbele
 
Nimekuelewa ndugu ni ujana tu ulinipa upofu
Daaah pole sana ndungu! Mapenzi haya jamani wanaume sijui tumelogwa na nani unamfunguliaje biashara demu tu tena kwa hela ya mkopo bank? fanya hivi kwa mkeo tu sio kimada madhara yake ni makubwa hawa viumbe ni wa kuishi nao kwa akiri sana otherwise ni mateso ya maisha kama haya, Kumsomesha mwanake kabala hujamuoa,kumfungulia biashara, acha huo upuuuzi utakuja kujuta, au kumpa mavitu ya dhamani kuliko uwezo wako kwa kutaka kujionyesha wewe mwanaume ni hatari kwa afya yako .
 
Asante mkuu natamani ningejua ya kesho nikakwepa kuonana nae ila haisaidii mwenzangu leo anafuraha mimi ninamajuto
Pole sana kama ni kweli
Ifikie wakati sasa wanaume tujitambue, kwani wewe sio wa kwanza kupatwa na mkasa kama huo kwenye maisha, kabla ya kuangalia utamsaidiaje mwanamke umpendae ili kuweza kujikwamua kwenye lindi la umaskini, basi ni vyema kuanza kujipanga na kujiimarisha mwenyewe katika maisha yako kwa kuwa na mikakati na mipango imara.

Hii itatusaidia pale ambapo uliejitolea kumsidia hata asipokujali basi maisha yako hayatotetereka wala kuyumba.

Wanaume tunajiona tuna upendo kiasi kwamba tunajisahau kupenda maisha yetu na kuhamishia upendo wote na kutaka kuwajengea maisha bora tuwapendao, hii tabia mara nyingi huwa inatucost pale tunapopatwa na majanga kwani hao tunaowajengea upendo huwa hawana upendo wa dhati kwetu.

Tuachane na hawa viumbe, wajengewe upendo na familia zao tusiwe watu wa kutumika kama daraja na badala yake mwanamke baada ya kupata mafanikio kiasi wanatuona sisi kama takataka. Na endapo tukipatwa na matatizo ndio wanatuacha njiani kama hawatujui na badala yake ana move on kuelekea kwa mwengine.

Tujifunze kutokana na makosa ya watangu wetu, naamini hata wewe ulishawahi kusikia/kuona mwengine kupatwa na mkasa kama huo kabla yako lakini hukujifunza na kuhisi hautakuwa miongoni mwa watakaopatwa na mkasa kama huo.

Pole sana
 
Mzee acha kumsingizia Mungu. Mwenyezi Mungu alitupa akili na utashi ndani yake, na akaja kutuagiza tuishi nao kwa akili pia . Sasa wewe mwenyewe maisha bado yalikua hayajatengamaa ukaona haitoshi wewe ndio wewe unaakili zaidi ya wazazi wake na kujipa majukumu yasiyo yako ya kuanza kukopa ili umridhishe yeye na wakati huo huyo Mwenyezi Mungu mwenyewe katuagiza kuwa wema usizidi kipimo, sasa hapo bwana mkubwa wa kumlaumu nani.........?

Cha kufanya kaa chini jikubali kuwa wewe ndio fala na ufala wako ndio ulio pelekea yote hayo na hakuna wa kumlaumu.

Na siku nyingine uwe mwalimu mzuri kwa wadogo zako wa kiume kuwa mwanaume tengeneza maisha yako kwanza na pesa unazo pata ni kwa ajiri yako na wanao hitaji msaada wako tu.

Hapa naweza kukuonea huruma lakini kumbe wewe ulipo pata hiyo kazi ndio ilikua chanzo cha kuwatelekeza wazazi wako na kuja kupenda malaya na hayo ndio malipo yako baada ya huzuni za wazazi wako.

Bro you have no one to blame except for.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom