Nilipata ulemavu sababu ya Mapenzi

Mkuu pole saaan. Ulicho andika hapa ni funzo hata kwetu sisi ambao bado hatujaingia kweny mahusiano. Usikate tamaa huu ni mda mwafaka wa ww kuomba toba kwa mumba wako naamini atafanya njia pasipo na njia. Pia msameh huyo mwanamke kutoka moyoni maan hata mungu hatoweza kukubariki na kufanya njia kwako ile hali umebeba watu moyoni mwako. Ilo ni pito yu na kumbuka hakuna jaribio ninalo kuja kwetu ambalo ni kubwa kiasi kwamba tutashindwa kulifuka. Trust in god and forgive baada ya ww kufanya hvyoo trust me utaona Baraka zake mungu zitakavyo kumiminikia. Samehe kwanza mkuu wangu
 
asante ndugu yangu naumia ila haisaidii kitu
Kwakua hili umelitambua, basi samehe (najua ni ngumu kusahau) kisha anza maisha mapya kana kwamba ndio unaanza moja.
Usiangalie kwamba una ulemavu, bali jitazame kama binaadam. Na usipoteze muda wako kumfikiria huyo binti alieku jeruhi maana utaongeza tatizo la sonona ndani yako.
Nina hakika utakuja kumpata atakae kupenda kwa dhati, kikubwa ni kuomba uzima na afya njema.
 
Genious
 
Asante kaka hakika neno lako la baraka likafanikiwe kwangu nisimame tena vizuri
 
Asante ndugu naimani nitasamehe na kusahau japo sio rahisi
 
Amen asante sana kwa neno hili la faraja.
 
We sema tu binadamu kwa ujumla.

Wala sio wanaume peke yao.
Haya mapenzi ya kuwaza bettering partners ndo upendo inafanyika tu pande zote.
 
Shukrani kwa ushauri ndugu nitafanyia kazi ushauri wako
 
Hapa naona 90% ya wachangiaji mnaishia kumlaumu mleta mada, lakini mnasahau kwamba huu sio wakati sahihi wa kumlaumu zaidi mlipaswa mumfariji na kumshauri the way forward.
Watu wengi mnasahau kwamba mistakes wengi tunazifanya wakati tupo deep in love, lakini bahati njema/mbaya wengi wetu makosa yetu wengi hawayafahamu na hatuja yaandikia threads hapa jf.
Alafu nanyi akinadada, ebu hata mmoja basi ampende jamaa mleta mada maana yupo singo na mwamba anaonekana ni mwenye upendo wa dhati kabisa. Hana wenge kama akina mimi...🤸🤸
 
asante ndugu naomba Mungu anipe nguvu ya kusamehe na kushaau kwani inaniwia vigumu sana kusamehe nimejitahidi ila nashindwa
 
asante ndugu yangu Mungu anisaidie nisamehe
 
Daaahh mapenzi haya jaman.......nimuhimu Sanaa mtu kujifunza mapema namna ya kuruhusu mapenzi yasikutawale......na hii imenipa nguvu kuendelea kuwa hii tabia yako ya mim kuonekana sipo romantic na Wala sijui kujali...

Natamkiwa hii kauli karibu kwa kila mwanamke ninae kuwa nae kwnye mahusiano...!!
Haikua hivi mwanzo.....nilianza kuwa hivi baada ya kugundua mapenzi yanaweza kuniharibia maisha yangu Kama nikiendekeza kuyaabudu.

Hata mke wangu asije tegemea kwamba love yangu kwake itavuka beyond 70%......never....!!!

Mwanamke hata umpende vipi!! Umjali vipi!!! Kitandani umfanye kwa mastyl yote tena kwa rate ya 1hr/bao........bado itafika tu time atakuletea pigo za usaliti na dharau...

Na tangu niutrain ubongo na moyo wangu kuwa hivi,,,,,,imekuwa very easy to let it go......!!!
Yani nikishaona tu mwanamke kaanza kubadilika vitabia, majibu ya hivyo, misunderstanding, dharau, poor communication.....basi fasta sana napiga u-turn na kuendelea kula maisha katika njia zingine.
Na Cha ajabu ni kwamba hii imekua Kama dawa katika mahusiano yangu.....wengi wao wamekua wakijirudi baada ya kugundua wananiletea ujinga wakitegemea ntateseka kumbe holaahhhh.......

That is my principle!!!

Pole Sanaa ndugu yangu kwa yalio kukuta....Mungu akasimame na ww
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…