Kwasasa mapenzi siyo kipaumbele changu tena

Kwasasa mapenzi siyo kipaumbele changu tena

kiss ov love

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
9,388
Reaction score
16,176
Nimekutana na mtu sijui niseme ni mtu sahihi, lakini najiona siko tayari kabisa kuingia kwenye mahusiano wala ndoa bado nina safari ndefu sana ya kuboresha maisha yangu.

Hata hisia za kumpenda mtu nakosa kabisa, namuonea huruma huyu kijana tuliamua tuwe marafiki badala ya kushindikana kwa mahusiano lakini naona mwenzangu anashindwa kabisa

20260821_120303.jpg

 
Nimekutana na mtu sijui niseme ni mtu sahihi, lakini najiona siko tayari kabisa kuingia kwenye mahusiano wala ndoa bado nina safari ndefu sana ya kuboresha maisha yangu.

Hata hisia za kumpenda mtu nakosa kabisa, namuonea huruma huyu kijana tuliamua tuwe marafiki badala ya kushindikana kwa mahusiano lakini naona mwenzangu anashindwa kabisa

ungemwambia tu hana pesa ili kuepusha usumbufu..

Huruma sio malezi
 
Nimekutana na mtu sijui niseme ni mtu sahihi, lakini najiona siko tayari kabisa kuingia kwenye mahusiano wala ndoa bado nina safari ndefu sana ya kuboresha maisha yangu.

Hata hisia za kumpenda mtu nakosa kabisa, namuonea huruma huyu kijana tuliamua tuwe marafiki badala ya kushindikana kwa mahusiano lakini naona mwenzangu anashindwa kabisa

umemwamini?? 😀😀
 
Kumbukeni mnazeeka haraka ndugu zangu kuliko wanaume. Wakati huu mna ngozi nyororo, mna maumbo mazuri ya kuvutia, sura zenu hazijakinjamana, mnasumbuliwa na mabazazi wenye hela zao, nk. Huwa mnajiona kama keki vile!

Mwisho wa siku baada ya kuchagua sana na pia kugundua mlikuwa tu mna ndoto za kufikirika! mnajikuta mnaangukia kwa wanaume wa hovyo, sababu mojawapo ni hii ya kumdharau/kumpotezea mtu ambaye usikute ndiyo alikuwa sahihi kwenye kujenga naye familia.
 
Nje ya mada,

Wanaume,naongea na wanaume sio wavulana,never beg for love,Mwanamke akitaka muachane,mkubalie hapo hapo,dakika hiyo hiyo,hata kama alikua anatania,ila wewe fanya iwe kweli,
Kumbembeleza Mwanamke abaki kwako,unaonekana huna option na atakudharau sana,

Mwanamke atampenda na kumuheshimu mwanaume ambaye anajiamini na anaogopa kumkosa coz hua habembelezi,

You should never force or plead for affection, care, or validation

Real relationships and respect flow naturally, and begging compromises your personal dignit.
 
Nje ya mada,

Wanaume,naongea na wanaume sio wavulana,never beg for love,Mwanamke akitaka muachane,mkubalie hapo hapo,dakika hiyo hiyo,hata kama alikua anatania,ila wewe fanya iwe kweli,
Kumbembeleza Mwanamke abaki kwako,unaonekana huna option na atakudharau sana,

Mwanamke atampenda na kumuheshimu mwanaume ambaye anajiamini na anaogopa kumkosa coz hua habembelezi,

You should never force or plead for affection, care, or validation

Real relationships and respect flow naturally, and begging compromises your personal dignit.
Kuna mdau alliwahi kuomba tuachane, nikamkubalia kiroho safi. Miaka kadhaa mbele nikiwa nishavuta chombo kingine, yule aliyesema tuachane, anakuja tena. Eti anataka awe mchepuko wangu.

Nikabaki tu na mshangao naona hawa viumbe akili zao zinavyo navigate.
 
Nimekutana na mtu sijui niseme ni mtu sahihi, lakini najiona siko tayari kabisa kuingia kwenye mahusiano wala ndoa bado nina safari ndefu sana ya kuboresha maisha yangu.

Hata hisia za kumpenda mtu nakosa kabisa, namuonea huruma huyu kijana tuliamua tuwe marafiki badala ya kushindikana kwa mahusiano lakini naona mwenzangu anashindwa kabisa

Ungekuwa Mwanaume tungekushauri muone Red_me vituo vya kukata kengere
 
Back
Top Bottom