Nilipata kazi sababu ya uzuri

Nilipata kazi sababu ya uzuri

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
1,475
Reaction score
3,538
Pamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana.

Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku date eneo la kazi.

Kuna vitu haviwezi ongelewa ila vina athar sana mupnekano ikiwepo, people do judge the way you look even if they have no business with you, they will automatically puts you somewhere is their ranking position.

So km wewe hujajaaliwa uzuri, jitahid uvae vizuri na uwe na kauli nzuri.
 
Pamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana.
Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku date eneo la kazi.

Kuna vitu haviwezi ongelewa ila vina athar sana mupnekano ikiwepo, people do judge the way you look even if they have no business with you, they will automatically puts you somewhere is their ranking position.

So km wewe hujajaaliwa uzuri, jitahid uvae vizuri na uwe na kauli nzuri.
Umetafunwa we kubali tu
 
Screenshot_20250920_095157.jpg
 
Pamoja na kua na vigezo, ila muonekano wangu ulifanya mkuu wa panel awe mpole sana na kuonesha kuvutiwa na mimi, nilipata kazi kirahisi sana.

Baada ya kuingia kazini, nikawa namkwesikutaka ku date eneo la kazi.

Kuna vitu haviwezi ongelewa ila vina athar sana mupnekano ikiwepo, people do judge the way you look even if they have no business with you, they will automatically puts you somewhere is their ranking position.

So km wewe hujajaaliwa uzuri, jitahid uvae vizuri na uwe na kauli nzuri.
Wewe jamaaa una matatizo sana
 
Back
Top Bottom