Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa.
Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea.
Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa Duniani
Kama ni wabaya wake na arusha wa huku lia hatua akiwa kama mtumishi wa serikali mpaka wakataifishiwa Mali alipandaje hilo gari lao??(kabla hawajamtupa) je alitekwa?? Stori ingeanzia hapo kwenye kutekwa mpaka kuumizwa
Pole sana ndugu dah, kuwa makini kwenye kutimiza majuku yako, ni kweli ulisimamia haki bila kuwa na tahadhari kubwa maana ulimwengu huu usio na haki kupata haki ni kazi ngumu sana
Pole sana mkuu.
"if you can't find something to live for, you best find something to die for" Afeni Shakur words to Tupac, Tupac mother.
It should be more than War to achieve mkuu
Pole sana ndugu dah, kuwa makini kwenye kutimiza majuku yako, ni kweli ulisimamia haki bila kuwa na tahadhari kubwa maana ulimwengu huu usio na haki kupata haki ni kazi ngumu sana
Sio Polisi huyu, alikua mgombea ubunge Jimbo la Buyungu kupitia Chadema,akajiunga CCM na akapewa cheo cha kiserikali kama sio hata/wilaya huko Simiyu nadhani. Kuna nyuzi zake humu
Ndo alipounga mkono juhudi alipewa cheo cha kuwa WEO nadhani sijui(sikumbuki vizuri) na huko ndo alianza kuhitilafiana na hao wahujumu uchumi na ndo hao wamemtenda haya