HahaaaaaHiyo ya kwanza ni chama tawala kinavyowarubuni watanganyika kwenye chaguzi, ulivyokifukuza na kukatia tamaa njiani inaonyesha tabia ya watanganyika kujifanya wanakichukia sana ilhali kila uchaguzi ukifika kinarudi tena( hapa inaungia ndoto ya pili), kitendo cha kumpa kitabu(maarifa) inaonesha ujinga ulivyo mtaji kwa wanasiasa so ulimkabidhi ufahamu. Hiyo picha ya mtu ni watz, mmea wa kijani ni wakulima ambao wamenyang'anywa elimu na kimtu cha kijani hivyo jikaze kuichagua tena mwakani maana hamna namna. Natania tu kisiasa
kote hakufai
hiii movie ya starwars naona ishakua inatisha mpaka watu na ndevu zao badala ya watotoMnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...
nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...
kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndoto mimi huwa sizielewi kabisa nimeendwa kwa daktari lakini mambo si mazuri kabisa.Kapime afya ya akili mkuu.Huenda umeathirika kisaikolojia.
Mnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...
nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...
kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616
Sent using Jamii Forums mobile app
Huto ni pole pole na bashiru walikuwa wanakubembeleza ukaunge juhudi za mh.Mnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...
nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...
kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616
Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza kucheza video games na kuchek movies mkuuHeri mnaota Hivyo binafsi huwa naota napigana na huwa sipigwi hata siku moja mi ndo star mwenyewe hakuna kisa Cha ngumi hizo tena director wa ndoto yenyewe huwa mwenyewe..
Hata huwa sichezi gemu movie sio sanaPunguza kucheza video games na kuchek movies mkuu
Sasa hii karatasi ulikujakujaje nayo kutoka ndotoni?
Huko ndotoni hiko kimtu chako kilikufungulia page kadhaa mwisho kikastop ili ukariri,,,
Nawaza kwa sauti hapa vile ulinyofoa ukurasa mmoja kutoka ndotoni hadi jamiiforums halisi
Ndoto pekee inayotimiaSiku nyingine kunywa maji mengi ili upate muda wa kwenda kukojoa tupunguze ndoto
..hakuna cha maana katika ndoto