Nilionyeshwa picha hii ndotoni

Hiyo ya kwanza ni chama tawala kinavyowarubuni watanganyika kwenye chaguzi, ulivyokifukuza na kukatia tamaa njiani inaonyesha tabia ya watanganyika kujifanya wanakichukia sana ilhali kila uchaguzi ukifika kinarudi tena( hapa inaungia ndoto ya pili), kitendo cha kumpa kitabu(maarifa) inaonesha ujinga ulivyo mtaji kwa wanasiasa so ulimkabidhi ufahamu. Hiyo picha ya mtu ni watz, mmea wa kijani ni wakulima ambao wamenyang'anywa elimu na kimtu cha kijani hivyo jikaze kuichagua tena mwakani maana hamna namna. Natania tu kisiasa

kote hakufai
Hahaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...


nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...

kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616

Sent using Jamii Forums mobile app
hiii movie ya starwars naona ishakua inatisha mpaka watu na ndevu zao badala ya watoto
 
Jamani hizi ndoto nazoota hizi mimi zinanitaza sana,leo nimepata kuota kuna watu wakubwa wenye rangi ya samawati(blue)wakiwa wamejifunga misuli ya zambarau,...na nimeota hivi mmojawapo wa mtu mkubwa sana akiwa na asili ya uzungu njinsia sijajua ila nahisi ni wa kike hivi alikuja kaya moja wapo ya sehemu fulani akiwa anavizia kama kitu nyuma ya nyuma ni mkubwa mno,mimi nikiwa narejea sehumu hiyo bila kuuliza nikashika kama ukuni fulani sikujua umetokea wapi,...kilichofuata ni wimbo nisio ufaam nikaanza kumponda nao yule mtu mkubwa ule ukuni yule mtu alikua mtupu nywele zake zilikua mithili ya gold hivi...nikaanza kumponda nao kwa muda mrefu huku eneo lile likijaa daku na kutapakaa pale chini mpka kimya kilipotawala na ule wimbo kukatika,ndipo baada ya muda fulani wakatokea majitu wengine wakubwa wakabeba ule mwili walikuwako wakiwa utupu nao na wamelowa sana damu miili yao haswa midomoni baadhi yao wakabaki eneo lile wakicheza na wengine wakauchukua ule mwili.....
 
Kwanza mtu kuwa wa kijanni ni perfect lkin na ona thread ni ya muda laki na nauhakika kuna kitu ulikuwa unakifanya na ile ndoto ndo majibu yake
 
Mnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...


nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...

kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616

Sent using Jamii Forums mobile app

Kuna watu umetofautiana nao ndugu? Mimi ni mpenzi sana wa ndoto hasa za namna hii. Haya tunaita maono.(Ndoto zinazokuja ukiwa unajiona kama vile uko macho yaani unaona vitu umelala lakini unakuwa na akili zako zote ni kama umefumba macho lakini upo macho ila kimsingi unakuta umelala kabisa suingizi mzito. Sasa najiuliza kuna watu umekosana nao. Maana ya hii ndoto yako ni kwamba Kuna Mtu atakuotea kukuua na itatokea baada ya miaka mitatu uhai wako utakomeshwa na itakuwa mwisho wako. Watu watatu ni vipindi vitatu. Inaweza kuwa siku tatu au miezi mitatu lakini kwa kuwa ndoto huja mapema sana mbali na tukio, basi hao watu watatu ni miaka mitatu. Atakuja mtu kukata uhai wako yaani huo mti ulio mea na kwamba jua lako litazama ukiwa unajiona ( yaani hiyo nusu tufe ni jua kuzama). Hao wanadamu wengine ni pilika pilika za maisha ambapo katika hizo pilika pilika atatokea mtu atataka uhai wako. Kwa hiyo tengeneza mambo yako kama kuna mtu unataka kumdhulumu iwe mke au mali jitafakari anza upya na uzuri ndoto ikija maana yake umearifiwa ili urekebishe sio lazima itime kama ukijipanga. Na kwa kuwa umeota mtu huyo mara mbili hiyo ni kukupa mnsistizo kuwa jambo hili ni bayana na litatimia.
 
Mnamo saa sita ya jana nioliota ndoto mbili zenye kufanana zikipishana kama dakika45 tano hivi,naeleza kwa ufupi ndoto ya kwanza niliota nikiwa nimekaa kitini mbele ya mlango wa chumba changu chini ya ule mlango kulilua na uwazi kidogo nikaona mikono kama ya kitu ikitokeza chini hivi kama inataka kuingia ndani,nikafungua nitizame ni nini nikaona kitu kama kimtu hivi kidogo sana kifupi ila ni mithili ya mtu kamili kikimbia kilikua na rangi ya kijani...


nikajaribu kukifuata kwa nyuma kilipofika mlango wa kutokea nje maana ilikuwa ni kama kordo na mbele kuna mlango wa kwenda nje kikasimama nikaogopa na kurudi ndani mbio sikufaam kama niko ndotoni kufika ndani nikashtuka nikatahamaki sana sikuamini kama ilikua ndoto wakati nazubaazubaa kujiuliza ghafla nikajikuta tena nimelala nikaamua kutoka nje ilikuwa giza sana usiku...

kuna kimtu tena kifupi sura siikumbuki kikaja kinanidai kitabu hapo nikiwa tena ndotoni ila sijajua nazani real life,nikaingia ndani na kutoa kile kitabu na kuweza kumpatia kitabub kile kile kama nilikifaamu flani hivi,kile kimtu kikapoke na kuanza kunifunulia page kadhaa ikafikia page flani akakomea na kunionesha kwa dakika kadhaa sasa sikujielewa kama naota au ni kweli nikajitaidi kukalili pale kuliluwa na maandishi kadhaa ila nimesahu na mpangilio wa picha ambao nilipata kunakili picha moja tu nyingine nimesahau..picha yenywe ni hii hapa chini...View attachment 1053616

Sent using Jamii Forums mobile app
Huto ni pole pole na bashiru walikuwa wanakubembeleza ukaunge juhudi za mh.
 
Heri mnaota Hivyo binafsi huwa naota napigana na huwa sipigwi hata siku moja mi ndo star mwenyewe hakuna kisa Cha ngumi hizo tena director wa ndoto yenyewe huwa mwenyewe..
 
Heri mnaota Hivyo binafsi huwa naota napigana na huwa sipigwi hata siku moja mi ndo star mwenyewe hakuna kisa Cha ngumi hizo tena director wa ndoto yenyewe huwa mwenyewe..
Punguza kucheza video games na kuchek movies mkuu
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom