Nilimwona Mzee Bakhresa Akitafakari Sana

Nilimwona Mzee Bakhresa Akitafakari Sana

Biashara kubwa au uwekezaji mkubwa hawakurupuki kabla ya kuwekeza lazima wangalie risk na profit ya kile anachowekeza huyo mzee alishazungumza na magu kabla ya kufungua hicho kiwanda alichokwenda kukifungua mjomba magu, alicho Fanya magu ni kutuibia siri na kuichia hadharani tu sio kukurupuka mkuu
 
Kiswahili ni shida sana hasa mjini.Rais hakumlazimisha na ndo akasema"ukiwa tayari hata nitakupa"labda nimenukuu vibaya lakini kwa kiswahili maana yake akitaka atapewa.
Nakubaliana na ww, nadhani kiswahili ndo shida au uwezo mdogo wa kuichambua hotuba ya mh Raisi
 
Rais ni Rais wetu Watanzania, Bakhresa ni tajiri wetu Watanzania.

Yote ni ya kheli kwetu maana yote ni nafuu yetu.

Au hukuona watu wamepewa mpunga? Unajua kiasi gani watu wamefurah?

Kama hujui basi upaswi kuwa na mtazamo wako wa chuki. Kuwa na mtazamo furaha maana watu tumefurah kumuona Mh Rais yupo poa, na pia kumuona Bakhresa, miaka yote hatuwajah kumuona japo chapa yake ipo kona yote Tanzania.
 
Nilisikia raisi akisema atampatia kama wakishakubaliana.. Raisi alipendekeza wazo tu hakulazimisha. Acheni kupotosha mengi ya JPM. After all hilo ni bonge la deal! Sukari ndio habari ya dunia!!
"Raisi" ndiyo kitu gani hicho!!! Kiswahili kinakua kwa kasi sana!
 
JPM NAIKUBALI SANA FALSAFA YAKO,HUNA MUDA WA KUPOTEZA WALA KUSUBIRI.
jambo kama linalidhisha majibu ni hapo hapo bila kuchelewa.jambo kama halilidhishi majibu ni hapo hapo.Nimejifunza kitu toka kwako 'MUDA NI PESA'
 
Hivi tangu lini sukari ikawa bidhaa muhimu kwa watanzania.. Nyinyi mbona hamueleweki jamani juzi tu sukari sio muhimu ata akikosa miaka mia leo hii sukari ni muhimu..
 
wakati "maheta" wa SSB mkiendelea kutilia shaka uwezo wake wa kujenga kiwanda cha sukari ktk ekari elfu kumi za ardhi atakayo kabidhiwa na serikali,kumbukeni ameomba kuanzisha mradi wa speed boat za kubeba abiria ktk fukwe ya habari ya hindi.na kwa majibu wa kauli ya rais aliyoitoa jana pale mwandege,ni kama tayari amepewa go ahead kuanza mradi huo.
Mambo ya baharini tunajua tayari jamaa yupo so sio shida. Shida kuanza kufanya jambo jipya ambalo pengine halikuwa kwenye line. Au angempa bombadia basi tujue
 
Mambo ya baharini tunajua tayari jamaa yupo so sio shida. Shida kuanza kufanya jambo jipya ambalo pengine halikuwa kwenye line
basi sawa.
ila kaa ukijua,hata huko kwenye biashara ya usafirishaji wa majini,wakati anaanza,yawezekana kulikuwa na watu waliokuwa wanamtilia shaka kama wewe unavo mtilia shaka Leo.
 
Du, mkuu wewe ni "genious". Unauwezo wa kujua ndg. Bakhesa anawaza nini, unaweza kujua Mh. Rais wakati anaongea alikuwa hawajachat na Bakhesa, unajua kabisa ugumu wa hiyo biashara hiyo kuliko hata Bakhesa mwenyewe. Hongera, vipi wewe viwanda vyako viko wapi?
 
I didn't expect a different comment from a fellow whose microscopic brain is deep in his rectum!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Aisee we ni kichekesho kabisa yaani fulu mzigo..
Bora yangu me imehifadhi my brains...

Ya kwako kama kinu cha kusagia nafaka... and very very over used..

Ikikushinda meza panadol...
 
Kiswahili ni shida sana hasa mjini.Rais hakumlazimisha na ndo akasema"ukiwa tayari hata nitakupa"labda nimenukuu vibaya lakini kwa kiswahili maana yake akitaka atapewa.
Nakushkru kwa kututoa katika fiksi hili. Raisi ana nia njema na nchi yake kiasi kwamba anapata mzuka na kufanya maamuzi mengine bila taratibu tulizozoea
 
Nilisikia raisi akisema atampatia kama wakishakubaliana.. Raisi alipendekeza wazo tu hakulazimisha. Acheni kupotosha mengi ya JPM. After all hilo ni bonge la deal! Sukari ndio habari ya dunia!!
Nishaona bado mambo ya uchaguzi uliopita tumewekeza sana akilini. Bhakhresa ni mtu ambaye siwezi kumzungumzia kwa mazuri aliyoifanyia hii nchi. Nakumbuka namna alivyobadirisha usafiri wa kwenda Zanzibar na Tanzania bara kwa kuleta boti za kisasa kabisa na nauli affordable kwa Watanzania wezake. Binafsi ikiwezekana apewe tu aamue yeye mwenyewe nini awekeze. Respect mingi Azam company
 
Rais ni Rais wetu Watanzania, Bakhresa ni tajiri wetu Watanzania.

Yote ni ya kheli kwetu maana yote ni nafuu yetu.

Au hukuona watu wamepewa mpunga? Unajua kiasi gani watu wamefurah?

Kama hujui basi upaswi kuwa na mtazamo wako wa chuki. Kuwa na mtazamo furaha maana watu tumefurah kumuona Mh Rais yupo poa, na pia kumuona Bakhresa, miaka yote hatuwajah kumuona japo chapa yake ipo kona yote Tanzania.
Hata Mobutu Kuku wa Zabanga alipopora raslimali za DRC aliwaambia wakongo wajivune kwa sababu yeye ni mkongoman mwenzao!
 
Nishaona bado mambo ya uchaguzi uliopita tumewekeza sana akilini. Bhakhresa ni mtu ambaye siwezi kumzungumzia kwa mazuri aliyoifanyia hii nchi. Nakumbuka namna alivyobadirisha usafiri wa kwenda Zanzibar na Tanzania bara kwa kuleta boti za kisasa kabisa na nauli affordable kwa Watanzania wezake. Binafsi ikiwezekana apewe tu aamue yeye mwenyewe nini awekeze. Respect mingi Azam company
Huo uhuru wa kuchagua hauko. Ni utekelezaji tu
 
Haya yote ni mawazo ya kipuuzi kabisa. Ujinga huu mods muwe mnafuta! Wapinga maendeleo ni watu kama hawa. Hawa ndio wameifikisha nchi hii hapa ilipo leo bila aibu. We jamaa nadhani hata familia yako inakushinda kuiongoza na kuimudu. Na nyie ndio wale mliambiwa wapumbaf.. na ma.lo.f.a
Hujapinga hoja.

Umeshambulia mtoa hoja tu.

Kilatini hii inaitwa "ad hominem" attack.

ad ho·mi·nem
ˌad ˈhämənəm/
adverb & adjective
adverb: ad hominem; adjective: ad hominem
  1. 1.
    (of an argument or reaction) directed against a person rather than the position they are maintaining.
    "vicious ad hominem attacks"
  2. 2.
    relating to or associated with a particular person.
    "the office was created ad hominem for Fenton"

Mtu anaacha hoja anarukia viroja.Ni dalili ya kushindwa hoja.

Hujui uchumi unatakiwa kuendeshwa vipi.Hujui rais anatakiwa kufanya vipi.

Hujui fairness ni nini.Unakurupuka tu.
 
Kama walishajadiliana Kabla ya Mkutano Huo Hilo Halina Shida! Ila kama alishtukiziwa Ni Kichekesho! Ila Kilichonishangaza Ni Magufuli Kusema, "Nakupa Ekari 10,000 za Ardhi" Hiyo Lungha aliyotumia Labda iwe hizo ekari 10,000 atakazompa Bakresa, awe Magufuli amezirithi kutoka kwa Wazee wake, Lakini Kama Ni Ardhi ya Taifa hili, Kauli hiyo iliashiria Majivuno, na Kiburi cha Uzima, Angesema "Tutakupa" au "Serikali yangu Itakupa" au "Serikali itakupa" Ekari 10,000 angalau ingeleta Picha ya Kauli ya Heshima kwa Taifa!
1. Inaonekana hawajawasiliana. Ndiyo maana hata Magufuli kauli yake imetoka kama hawajawasiliana.

2. Tanzania rais ndiye mshika ardhi ya nchi na ana haki ya kuigawa au kuitaifisha anavyotaka. Hivyo Magufuli kusema anampa mtu eka 10,000 ni ndani ya uwezo wake aliopewa kama custodian of the land.

Mtu anayekurupuka sana kapewa madaraka makubwa sana.

Kuna mtu kaongelea udalali hapo juu. Tushaona hili. Tuna mfano.

Mengi alivyolalamika anaonewa na kusakamwa na Wahindi, rais Mwinyi katika uwalii wake wote akampa kipande cha prime area Dar opposite na Kitegauchumi Building pale. Aiendeleze na kuweka ofisi zake. Mengi kauza ile sehemu in a jiffy.

Kwa nini Bakhressa asifanye hivyo hivyo?

Ubovu wa Magufuli ni kukurupuka na maamuzi makubwa bila hata consultations. Atatuaibisha vibaya sana kwa mwendo huu.
 
Back
Top Bottom