Hata Mobutu Kuku wa Zabanga alipopora raslimali za DRC aliwaambia wakongo wajivune kwa sababu yeye ni mkongoman mwenzao!
Yaani utaje figure kabisa eti ajira elfu mbili, halafu ndio uanze kuzitafuta?Duh...Yaani wewe ukisikia serikali itatengeneza ajira milioni mbili nchini unadhani kuwa serikali ndiyo itakayoajiri wote hao???...