Nilimwona Mzee Bakhresa Akitafakari Sana

Nilimwona Mzee Bakhresa Akitafakari Sana

Pengine Hakuwa Tayari Kuingia Kwenye Kilimo Cha Miwa. Pia Kila Kitu Ni Mipango, Na Alihitaji Kwanza Kutegemeza Alivyo Navyo Ndio Aangalie Aina Mpya Ya Biashara. Sasa Kapewa Eneo, Tena Na Rais! Mbaya/zuri Zaidi Kaambiwa Na Cha Kuzalisha, Yani Sukari Ya Viwandani. Naomba Tujadili Hili. Ni Afya Kibiashara Kuongozwa Kufanya Jambo? Kwani Kwa Mujibu Wa Kauli Ya Rais Ni Lazima Alime Hiyo Miwa
We Mkuu umeweka rekodi....Kila neno umeanza kwa herufi kubwa.
 
Kama walishajadiliana Kabla ya Mkutano Huo Hilo Halina Shida! Ila kama alishtukiziwa Ni Kichekesho! Ila Kilichonishangaza Ni Magufuli Kusema, "Nakupa Ekari 10,000 za Ardhi" Hiyo Lungha aliyotumia Labda iwe hizo ekari 10,000 atakazompa Bakresa, awe Magufuli amezirithi kutoka kwa Wazee wake, Lakini Kama Ni Ardhi ya Taifa hili, Kauli hiyo iliashirika Majivuno, na Kiburi cha Uzima, Angesema "Tutakupa" au "Serikali yangu Itakupa" au "Serikali itakupa" Ekari 10,000 angalau ingeleta Picha ya Kauli ya Heshima kwa Taifa!
Mkuu hujui mheshimiwa ni mzee wa masapraiz? Sidhani kama walishajadili kabla. Angesema. Tusubiri tu utekelezaji
 
Marry Ngowi Hofu Yangu Ni Kuhusu Dira Sahiii Ya Taifa. Vingine Niseme National Interests. Serikali Ikishajenga Heavy Industries Na Kuona Zinasitawi, Ni Nani Wa Kufanya Kazi Ya Kuwakabidhi Sekta Binafsi Na Viwanda Vizalishe Na Kuendelea Kukua? Tayari Tuna Kovu La Privatisation, Na Mkapa Alisema Kati Ya Mambo Anayojutia Ni Ule Ubinafsishaji, Na Hawakuwa Wamejipanga. Swali, Ni Nani Wa Kusimamia Huo Mchakato Hata Jpm Asipokuwepo?
 
Hahahaa... simu zetu hizi ndugu. Settings tu
Dah sawa Mkuu....nimeshangaa sana nikasema swaga ya huyu jamaa ni noma...kumbe ni hali na siyo swaga,,,,,powa Mkuu na ujumbe umeeleweka.
 
watu wengi hukimbilia kusoma comments za watu na huishia hapo, na aidha watazijibu kwa kusapoti au wataziponda ( jambo ambalo ndilo huchukua nafasi zaidi) ila wewe unaenda mbali zaidi! unasoma comments na kucheki pia namna ambavyo zimeandikwa na mantiki zake , this is a big strength you have, that is how JF need to be , a home of intellectuals sio staili yetu ya kushabikia mada na comments tu bila kuzichambua kwa undani!
Hivi Marry umegundua kwamba kwenye hiyo post uliyo iquote nimekuita Man? nilivyoona umeriply nikadhani unanisahihisha kumbe hujaona?😀😀😀😀
 
Pengine Hakuwa Tayari Kuingia Kwenye Kilimo Cha Miwa. Pia Kila Kitu Ni Mipango, Na Alihitaji Kwanza Kutegemeza Alivyo Navyo Ndio Aangalie Aina Mpya Ya Biashara. Sasa Kapewa Eneo, Tena Na Rais! Mbaya/zuri Zaidi Kaambiwa Na Cha Kuzalisha, Yani Sukari Ya Viwandani. Naomba Tujadili Hili. Ni Afya Kibiashara Kuongozwa Kufanya Jambo? Kwani Kwa Mujibu Wa Kauli Ya Rais Ni Lazima Alime Hiyo Miwa
Hivi kwa akili ndogo tu nimfanya biashara gani apewe resource ya ardhi ukubwa huo kisha apewe uhakika wa monopoly ya soko akatae?
Jiulize kwanini alitaka Rais akazindue?
Anajua shauku ya Rais ni ahadi yake ya viwanda kutimia hivyo kufanya yale mkuu wa nchi ameyapa kipaumbele obvious nikujenga uhusiano mzuri na mkuu wanchi na matokeo yake nikupata kibali(favour) ndiyo hayo ya ofa kubwa kubwa.
Lengo la kumualika guest of honor ni kutaka input yake kwenye jambo husika.Hapa naweza sema lengo la Azam group lilifanikiwa kwa kiwango kikuwa sana ninaamini kipindi cha awamu ya 5 Azam group watakula matunda zaidi maana uhusiano mzuri siku zote huambatana na favour.
 
Pengine Hakuwa Tayari Kuingia Kwenye Kilimo Cha Miwa. Pia Kila Kitu Ni Mipango, Na Alihitaji Kwanza Kutegemeza Alivyo Navyo Ndio Aangalie Aina Mpya Ya Biashara. Sasa Kapewa Eneo, Tena Na Rais! Mbaya/zuri Zaidi Kaambiwa Na Cha Kuzalisha, Yani Sukari Ya Viwandani. Naomba Tujadili Hili. Ni Afya Kibiashara Kuongozwa Kufanya Jambo? Kwani Kwa Mujibu Wa Kauli Ya Rais Ni Lazima Alime Hiyo Miwa
Unajua maana ya Diversified Business? Hiyo ndo anafanya SSB. Hivyo kilimo cha sukari hakitamshinda.
 
Hivi kwa akili ndogo tu nimfanya biashara gani apewe resource ya ardhi ukubwa huo kisha apewe uhakika wa monopoly ya soko akatae?
Jiulize kwanini alitaka Rais akazindue?
Anajua shauku ya Rais ni ahadi yake ya viwanda kutimia hivyo kufanya yale mkuu wa nchi ameyapa kipaumbele obvious nikujenga uhusiano mzuri na mkuu wanchi na matokeo yake nikupata kibali(favour) ndiyo hayo ya ofa kubwa kubwa.
Lengo la kumualika guest of honor ni kutaka input yake kwenye jambo husika.Hapa naweza sema lengo la Azam group lilifanikiwa kwa kiwango kikuwa sana ninaamini kipindi cha awamu ya 5 Azam group watakula matunda zaidi maana uhusiano mzuri siku zote huambatana na favour.
Umenena.
Biashara kitu cha kwanza ni Soko pili Eneo kama alivyosema mwanae tatu mtaji ambao upo, ni Mfanyabiashara Mjinga tu anayeweza kukataa offer kama hii ya Mkuu wa Nchi.
Bado kahakikishiwa kama hizo ekari 10'000 hazitoshi atampa nyingine apate nini?
 
BAWACHA RAIS ALISEMA AKIWA TAYARI
Sawa akiwa tayari, kwa nini ampangie cha kufanya kwenye hyo ardhi? Serikali imeshindwa hata kuanzisha shamba la miwa tutegemee kuanzisha kiwanda kwei?! Kalagabaho.
 
Pengine Hakuwa Tayari Kuingia Kwenye Kilimo Cha Miwa. Pia Kila Kitu Ni Mipango, Na Alihitaji Kwanza Kutegemeza Alivyo Navyo Ndio Aangalie Aina Mpya Ya Biashara. Sasa Kapewa Eneo, Tena Na Rais! Mbaya/zuri Zaidi Kaambiwa Na Cha Kuzalisha, Yani Sukari Ya Viwandani. Naomba Tujadili Hili. Ni Afya Kibiashara Kuongozwa Kufanya Jambo? Kwani Kwa Mujibu Wa Kauli Ya Rais Ni Lazima Alime Hiyo Miwa[/QUOTE
Bakhresa kukubali imekuumiza sana.Mpaka unaileta hapa tujadili kana kwamba sisi ni bodi ya wakurugenzi
 
bakhresa group huwa hawakurupuki kujiingiza ktk biashara.

nasikia wana ya kampuni ya consultancy inayomilikuwa na raia wa kigeni ambayo huwa wanaitumia kuwafanyia feasibility study kabla hawaja risk kuwekeza ktk biashara mpya.

Nina hakika hata hili la kiwanda cha sukari,hawatakurupuka.
Feasibility study wanafanyaga watoto wake,waliosoma,mwenyewe,said,ana guts zake tu za biashara,akiamua anaingia tu alafu its a history,ndio kipawa chake nadhani..
 
Rudi ukasome katiba ya nchi yako. Ardhi yote ni mali ya raisi wa jamuhuri ya muungano wa tz na itatumika kwa maslai mapana ya wananchi wote!
Senior Kilaz.a[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Pengine Hakuwa Tayari Kuingia Kwenye Kilimo Cha Miwa. Pia Kila Kitu Ni Mipango, Na Alihitaji Kwanza Kutegemeza Alivyo Navyo Ndio Aangalie Aina Mpya Ya Biashara. Sasa Kapewa Eneo, Tena Na Rais! Mbaya/zuri Zaidi Kaambiwa Na Cha Kuzalisha, Yani Sukari Ya Viwandani. Naomba Tujadili Hili. Ni Afya Kibiashara Kuongozwa Kufanya Jambo? Kwani Kwa Mujibu Wa Kauli Ya Rais Ni Lazima Alime Hiyo Miwa
Katika mfumo wa soko huria serikali haitakiwi kuingilia biashara.

Magufuli anaingilia biashara kwa kuchagua nani azalishe nini.Kauli zake zinaingilia biashara huru.
 
Back
Top Bottom