Nilimwona Mzee Bakhresa Akitafakari Sana

Nilimwona Mzee Bakhresa Akitafakari Sana

Ha ha ha,hapa kweli rais tumepata wandugu,
itabidi baresa alime tu miwa hakuna namna,
ila itamlipa sana,sukari inalipa sana
 
Mbele ya kiwanja cha bure tena kikubwa hata ka ni mimi najenga tu kiwanda.
Bei wamesema estimate $10Million kwa kila kiwanja, hiyo pesa kwa Bakhresa sio kitu, na kwa sukari anaweza kuirudisha fasta tu maana serikali tunapokwenda tukiwa na sukari ya kujitosheleza ujue import yote itapigwa chini kama sio kufunga kabisa wanaweza weka tarrifs za hatari, kwa hiyo jamaa atauza sukari nchini si mchezo. Yaani hapa Rais anazidi kumtajirisha jamaa.
NA LENGO LA RAIS NI KUWATAJIRISHA WALAZENDO KAMA BAKHARESA
 
Eh! Wandugu Sikuwa Na Nia Mbaya. Ukweli Ni Kuwa Hatuko Akilini Mwa Baresa
 
Pengine Hakuwa Tayari Kuingia Kwenye Kilimo Cha Miwa. Pia Kila Kitu Ni Mipango, Na Alihitaji Kwanza Kutegemeza Alivyo Navyo Ndio Aangalie Aina Mpya Ya Biashara. Sasa Kapewa Eneo, Tena Na Rais! Mbaya/zuri Zaidi Kaambiwa Na Cha Kuzalisha, Yani Sukari Ya Viwandani. Naomba Tujadili Hili. Ni Afya Kibiashara Kuongozwa Kufanya Jambo? Kwani Kwa Mujibu Wa Kauli Ya Rais Ni Lazima Alime Hiyo Miwa
Kama walishajadiliana Kabla ya Mkutano Huo Hilo Halina Shida! Ila kama alishtukiziwa Ni Kichekesho! Ila Kilichonishangaza Ni Magufuli Kusema, "Nakupa Ekari 10,000 za Ardhi" Hiyo Lungha aliyotumia Labda iwe hizo ekari 10,000 atakazompa Bakresa, awe Magufuli amezirithi kutoka kwa Wazee wake, Lakini Kama Ni Ardhi ya Taifa hili, Kauli hiyo iliashiria Majivuno, na Kiburi cha Uzima, Angesema "Tutakupa" au "Serikali yangu Itakupa" au "Serikali itakupa" Ekari 10,000 angalau ingeleta Picha ya Kauli ya Heshima kwa Taifa!
 
Rudi ukasome katiba ya nchi yako. Ardhi yote ni mali ya raisi wa jamuhuri ya muungano wa tz na itatumika kwa maslai mapana ya wananchi wote!
"Umesoma Katiba ya Libya au?" Ardhi ya Tanzania Ni ya Rais sio, oh should I now say, Mfalme Makufuli Aishi Milele, tafadhali Ikupendeze Kichwa chako kilicho juu ya shingo yangu Ukipe neema kiendelee kuwa juu ya shingo yangu ee mfale mkuu!
 
Rudi ukasome katiba ya nchi yako. Ardhi yote ni mali ya raisi wa jamuhuri ya muungano wa tz na itatumika kwa maslai mapana ya wananchi wote!
Ninyi Ndio Mlimpengeza Rais Kuleta Kupatwa kwa Jua, AkyaMungu!
 
Kapewa sukari iliyoshikiliwa bandarini bureeee akashangilia... Mtego huo.... Alime tu hamna namna.
 
Lazima atafakari kwa kuwa wamezoea kuwanyonya wakulima.. Unatumia nguvu nyingi kulima nanasi au matunda mengine ukipeleka pale kiwandani unapewa bei ya chini na ukikataa mstunda utayapeleka wapi! Yanaishia kukuozea.. So kwa mtu aliyezoea aina hii ya unyonyaji lazima kichwa kimuume..
 
awamu hii natafuta fursa tuvuke hapa na nikianza na kiwanda cha unga wa sembe , naendelea na upembuzi yakinifu juzi nimeona mashine ya kuanzia mradi ni dola 19000 email zinaingia kila baada ya muda umeamuaje ,unachukua ipi ,kamati yangu ndogo inaumiza kichwa huyu mchina akituma invoice hela zitoke wapi.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ukweli mimi nahisi kuanzisha kiwanda ni mipango sasa mfano asubui tuu kunakucha mtuu anakwambia anzisha kiwanda chakutengeneza magari apoo inabidi utafakari kwakua unaitaji watafiti wa biashara iyoo mpya namambo mengine mengi kwa Raisi nahisi alikua nanianjema kabssa nandio manaa akamuonyesha eneo naakamwambia lispotosha atamuongeza hongera sana Lakini jee aliepewa yupo tayalii kuanzisha biashara nyingine
 
Mkuu,ivi ulimwelewa Rais au umesoma Kifaransa? Pale hakulazimishwa ndo maana rais kasema Bakhresa ndani ya siku 5 akubaliane na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Ombi la raisi ni amri... ni oda mkuu.... kifupi pale SSB hapindui ukilinganisha na ardhi ya bure....
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Sijui kwanini ukawa wanakua wagumu sana kuelewa mambo madogo tu, kama haya! halafu kutokana na kutokuelewa kwao basi hupelekea upotoshaji mkubwa sana katika jamii yetu!
 
Pengine Hakuwa Tayari Kuingia Kwenye Kilimo Cha Miwa. Pia Kila Kitu Ni Mipango, Na Alihitaji Kwanza Kutegemeza Alivyo Navyo Ndio Aangalie Aina Mpya Ya Biashara. Sasa Kapewa Eneo, Tena Na Rais! Mbaya/zuri Zaidi Kaambiwa Na Cha Kuzalisha, Yani Sukari Ya Viwandani. Naomba Tujadili Hili. Ni Afya Kibiashara Kuongozwa Kufanya Jambo? Kwani Kwa Mujibu Wa Kauli Ya Rais Ni Lazima Alime Hiyo Miwa
Alimwambia kiwa tayari, kwa hiyo kwa sasa kama hayuko tayari sio lazima!Siku akiwa tayari na shamba bado likawa halina mwekezaji anaweza kukumbushia ahadi
 
Back
Top Bottom