Nilimwambia atakufa akafa kweli

Kazi ya msalaba ni uongo mkubwa. Hakuna kitu kama hicho!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakristo hawana Mungu mmoja. Wana Miungu watatu! Udanganyifu mkubwa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Anzisha mada yako. Hapa tunachangia uzi wa Mshana jifunza kutembea kwenye mstari basi. U andandia uzi wa mwenzako kutufunsisha imani potofu za kutiamini Mungu?
Nenda hadharani kajipambanue tukujue wote kuwa ww huamini Mungu karushe mambo yako kule sio kuja kuharibu uzi wa mwenzako kwa kuleta mada nyingi e

Sent using Jamii Forums mobile app
 
muombee na jamaa basi tuone

my game,my rules
 
Mshana hivi wewe huishi Kimara umalize maneno hapo? Au hata kama huishi huko jamaa yale wafanyayo hayajakukera uchukue maamuzi magumu? Fanya jambo kwa faida ya wengi bwana, tamka neno moja tuu na Watanzania wafurahi!
Mmojawapo hatamaliza........ [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji276]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona ww ulicbomeka masuala ya msalaba hapa? Kwani usipeleke kule?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mshana una imani ya ajabu sana...yani story zako zote ni za kushtua tu...mara umwambie mtu atakufa,mara unauza kiti cha ushirikina,mara unafanya kazi monchwari,mara mafunzo ya nguvu za giza.....dah!!!
 
mshana una imani ya ajabu sana...yani story zako zote ni za kushtua tu...mara umwambie mtu atakufa,mara unauza kiti cha ushirikina,mara unafanya kazi monchwari,mara mafunzo ya nguvu za giza.....dah!!!
[emoji276] [emoji276] [emoji276] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahh Mkuu umekuwa nabii? Maandiko yanasema 'Utapata unachokihubiria'
All in all huyu ndugu alikuwa ana msongo wa mawazo kukung'ang'ania alikuwa anatafuta wepesi wa yanayomsumbua. Hope ulimsamehe kwa kukusemea uongo!
Tumefundishwa kusamehe kabla jua halijachwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…