Nilimwambia atakufa akafa kweli

BTW trust me MIMI NINA MDOMO MBAYA!!! Sijivunii wala sijisifu na kwakweli kuna wakati huwa najiogopa binafsi kwakuwa hata mimi mwenyewe nikisita kufanya jambo kisha nikafosi huwa inakula kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata dawa ya Hii nipe jamani maana ni km umeona nilivyo, inatesa wakati mwingine hii hali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mganga wa kienyeji nampinga kila siku..mbona wenzio wanabandika mabango na yana kichwa cha habari kabisa we huweki wazi unazunguka sana
 
Inakufanya ujisikie vby mi nina hiyo ya kutamka vby km mtu kanikera lkn sio kufa, we Hii ni mby kuliko pole sana bro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya fumba macho tuanze sala...
Ewaaa....

Damu ya Yesu itufunike kila Mshana akitaka kuturoga aone taswira yake mwenyewe.... Mungu wewe ni Mkuu, naomba utulinde na babu yangu, tufiche kwenye mbawa zako mfalme wa amani.... Katika jina la Yesu naomba na kuamini Aaaaammmeenn
 
Ipo wazi kwamba maneno yana 'umba' lakini sielewi nguvu iliyotoka nyuma ya maneno yako ni chanya au hasi na kama ni vyovyote iwayo yalikuwa yana 'akisi' 'usafi'wa msemaji au 'uchafu' ?

Au tuchukulie ni nasibu tu iliyotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…