Nilimpenda sana lakini nikaamua kumpa sumu

Nilimpenda sana lakini nikaamua kumpa sumu

Galadudu

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
2,304
Reaction score
780
Hili ni tukio ambalo likitokea miaka mingi sana iliyopita lakini hadi leo hii huwa nikilifikiria najikuta nimepatwa na haruma halafu hapo hapo napatwa na hasira kali.

Hili tukio baada ya majuzi tu hapa mtaani kwetu mzee mmoja kumpa sumu mwanae wa kiume aliyempenda sana, nae alimkuta analiwa kiboga na wanafunzi wenzie.

Waliokuwa na utaratibu wa kwenda pale kwake usiku kwa lengo la kujisomea, lakini yule kijana hakufa aliwahishwa tu hospital na huko ilitembea hela mambo hayakufika mbali.

NB:- Muhimu ni kuchunguza sana mienendo ya vijana wetu wanaosema wanajisomea kwa ma group.

Jumapili njema
 
Aliliwa kiboga au ulikuwa unaisi .
Kama kaliwa nakuunga mkono kwa uamuzi wako utafugaje shoga alaaa.
 
kuna kijana mmoja kakimbia na mali za watu hapa Dar ikiwemo mke wa mtu na mtoto.
I am responsible. Nimepewa jukumu la kumsaka mpaka arudishwe na familia aliyokimbia nayo..
Kiongozi, Kwa hiyo wewe ni mkaguzi/mshushu wa kukodishwa?
 
kuna kijana mmoja kakimbia na mali za watu hapa Dar ikiwemo mke wa mtu na mtoto.
I am responsible. Nimepewa jukumu la kumsaka mpaka arudishwe na familia aliyokimbia nayo..

wewe excel najaribu kukuelewa ika sielew
 
Hili ni tukio ambalo likitokea miaka mingi sana iliyopita lakini hadi leo hii huwa nikilifikiria najikuta nimepatwa na haruma halafu hapo hapo napatwa na hasira kali......

Tatizo lilikuwa hivi........

Nyumbani tulikuwa tumefuga mbwa, alikuwa mkubwa dume na kutokana na matunzo mazuri alipendeza sana, na kwa mapenzi yote nikamwita jina la simba, nilimpenda sana yule mbwa, yani sana......sasa pale nyumbani ikawa ikifika ucku panakuwa na purukushani ya mbwa wengine wengi sana wapo waliokuwa wa pale pale mtaani na wengine kutoka mitaa ya jirani, nikajua labda wanakuja pale kwa ajili ya kampani tu.

Ndio nikaja kugundua kumbe yale ma mbwa yaliyokuwa yanakuja pale nyumbani yote yalikuwa yanagombea kutaka KUMLA KIBOGA yule mbwa wetu! Kwa kweli nilikasirika sana na nikaona ametudhalilisha familia nzima, nikaamua kumpa sumu akafilia mbali...... Nimelikumbuka hili tukio baada ya majuzi tu hapa mtaani kwetu mzee mmoja nae kumpa sumu mwanae wa kiume aliyempenda sana, nae alimkuta analiwa KIBOGA na wanafunzi wenzie waliokuwa na utaratibu wa kwenda pale kwake ucku kwa lengo la kujisomea, lakini yule kijana hakufa aliwahishwa tu hospital na huko ilitembea hela mambo hayakufika mbali

NB:- muhimu ni kuchunguza sana mienendo ya vijana wetu wanaosema wanajisomea kwa ma group..... Jumapili njema

Mkuu ulifanya makosa. Kwani huyo mbwa ulikuwa unamwonea wivu? Ungeweza kutimiza haja zake?
 
Kiongozi, Kwa hiyo wewe ni mkaguzi/mshushu wa kukodishwa?

Inawezekana mkuu.
Namhitaji sana huyo kijana by hooks and crooks.
Imagine wewe umeoa, umezaa mtoto mmoja, halafu mimi from nowhere nakuja na kutoroka na mke na mtoto kwa kumlaghai!
Well, kwa upelelezi wangu nilioufanya nimeambiwa kuwa kijana ni mgogo, mwenyeji wa Dodoma, kijiji cha Muungano, Mvumi.
Nafuatilia bado ukoo wake kiundani unajulikanaje huko.
Ntamkamata tu pole pole.
 
Back
Top Bottom