Jamaa yangu Kijiji cha Muungano ni kikubwa sana kwani kimetapakaa kutoka Mgharibi kikiungana na UDOM Education hadi karibu na Mvumi Mission,
Hapo Pikipiki tu ndio inaweza kumpata maanda Mabasi ya Mvumi hayapiti hapo, yanazungukia Kikombo au Mvumi Makulu
Hawa vijana wa Muungano si wema inabidi uje kiakili sana ndio wanaweza kukusaidia kumtafuta huyo Bibie
Vujiji vya kwetu Serikali yao ni ngumu km wote ni wazaliwa wa hapahapa Muungano hawatakusaidia hata kukupatia wototo wa huyo rafikiyo, na hasa km walitoroka kimapenzi huko kwenu
POLE
Mambo mengine ni ya ki-intelijensia sana madam K.Sasa imekuwaje wewe uwe responsible? Samahani lakini kwa kudandia treni kwa mbele
Mbona kama sielewi kinachoendelea!!.
Dawa za kutibu Mbwa awe Rijali!!Uniletee dawa yangu!! Kwani mi naumwa nini
Duuuuuuhhh but kiukweli huwa mzazi especially Baba huwa anaona amedhalilishwa sana pale mtoto wake wakiume akiwa analiwa kiboga..! Sometimes huwa Baba mtoto anaona bora amtupilie mbali kuliko kuona udhalilishwaji mkubwa kiasi hiko...! Ebana eeehh mtaani kwenu hao mbwa wa street ni mabazazi sana alafu mlikuwa huyo dog wenu mnampaka carolite akawa anavutia madogi ya kiume..!
Wewe masai dada nani aliyekwambia hayo
vp Mollel za mgonjwa
umeshamtembelea Hospital au bado msimamo ni uleule baada ya kuona Whatsapp
Huyu Galadudu achana naye hapo tu ana wivu kwa wanyama je amkute binadamu km mke au mtoto
Huyo mbwa mngese ndio mlinzi mzuri kwani asingekatiza mwizi, sema kelele za mabashambwa ndio zilimgasi
huyu inebidi akasaliwe na Maaskofu wa ile DINI ya London angeelewa kuwa wote ni viumbe wa MUNGU