Nilimpenda sana lakini nikaamua kumpa sumu

Nilimpenda sana lakini nikaamua kumpa sumu

Inawezekana mkuu.
Namhitaji sana huyo kijana by hooks and crooks.
Imagine wewe umeoa, umezaa mtoto mmoja, halafu mimi from nowhere nakuja na kutoroka na mke na mtoto kwa kumlaghai!
Well, kwa upelelezi wangu nilioufanya nimeambiwa kuwa kijana ni mgogo, mwenyeji wa Dodoma, kijiji cha Muungano, Mvumi.
Nafuatilia bado ukoo wake kiundani unajulikanaje huko.
Ntamkamata tu pole pole.
Pole sana Mkuu tupo nawwe pamoja.... Aisayee huyo kjn. ni mtekaji nyara!! Lazima atiwe nguvuni.
 
Pole sana Mkuu tupo nawwe pamoja.... Aisayee huyo kjn. ni mtekaji nyara!! Lazima atiwe nguvuni.

Mkuu kama kuna namna unaweza nisaidia kupata primary data, nisaidie!
Familia ishatenganishwa tayari.
wanawake wengine hawajielewi kabisa.
 
Aliliwa kiboga au ulikuwa unaisi .
Kama kaliwa nakuunga mkono kwa uamuzi wako utafugaje shoga alaaa.

Sasa inakuwaje madume kama yeye yanamparamia halafu hata hafanyi juhudi za kukataa, na inavyoonesha huo mchezo yalikuwa yameuzoea ndio maana yalikuwa yanajazana kila cku pale nyumbani
 
watu wako radhi wabebwe kwenye mikokoteni kuvuka mito na mitaro ya maji kwa ajili ya kwenda makazini, lakini si makanisani.:confused2:

Jumapili njema wadau..

kanisa ni popote pale ulipo
 
Achaa nijifariji na jf tu maana Galadudu umetishaa
vp Mollel za mgonjwa
umeshamtembelea Hospital au bado msimamo ni uleule baada ya kuona Whatsapp

Huyu Galadudu achana naye hapo tu ana wivu kwa wanyama je amkute binadamu km mke au mtoto
Huyo mbwa mngese ndio mlinzi mzuri kwani asingekatiza mwizi, sema kelele za mabashambwa ndio zilimgasi
huyu inebidi akasaliwe na Maaskofu wa ile DINI ya London angeelewa kuwa wote ni viumbe wa MUNGU
 
Mkuu kama kuna namna unaweza nisaidia kupata primary data, nisaidie!
Familia ishatenganishwa tayari.
wanawake wengine hawajielewi kabisa.
Jamaa yangu Kijiji cha Muungano ni kikubwa sana kwani kimetapakaa kutoka Mgharibi kikiungana na UDOM Education hadi karibu na Mvumi Mission,
Hapo Pikipiki tu ndio inaweza kumpata maanda Mabasi ya Mvumi hayapiti hapo, yanazungukia Kikombo au Mvumi Makulu
Hawa vijana wa Muungano si wema inabidi uje kiakili sana ndio wanaweza kukusaidia kumtafuta huyo Bibie
Vujiji vya kwetu Serikali yao ni ngumu km wote ni wazaliwa wa hapahapa Muungano hawatakusaidia hata kukupatia wototo wa huyo rafikiyo, na hasa km walitoroka kimapenzi huko kwenu
POLE
 
Inawezekana mkuu.
Namhitaji sana huyo kijana by hooks and crooks.
Imagine wewe umeoa, umezaa mtoto mmoja, halafu mimi from nowhere nakuja na kutoroka na mke na mtoto kwa kumlaghai!
Well, kwa upelelezi wangu nilioufanya nimeambiwa kuwa kijana ni mgogo, mwenyeji wa Dodoma, kijiji cha Muungano, Mvumi.
Nafuatilia bado ukoo wake kiundani unajulikanaje huko.
Ntamkamata tu pole pole.

Sasa imekuwaje wewe uwe responsible? Samahani lakini kwa kudandia treni kwa mbele
 
Back
Top Bottom