Hhahahha mkuu bado ana uchungu na dog style aliopigwa mkewe
Inaitwa POPOMA Na Kwa Kuielezea Ni Kuwa Unataka Kututambia Kuwa Umemfumania Aliyekuwa ANAKUKANYAGIA Demu Wako Na Nijuavyo Kama Ungekuwa NGANGARI Kamwe Usingechapiwa ILA Mimi Nimefurahi Tu Ulivyochapiwa. Je Una Jingine?
Sasa unaniambia Mimi au mleta mada teh teh teh
Aisee ushauri huu ni mzuri sana,fuata ushauri huu kaka,Mungu akusaidie katika hili.Pole.Shoga mtu ndio alichokuwa anakitaka, akuharibie ndoa yako aingie yeye na kafanikiwa.. Hamna ht mmoja wa maana hapo, mara mbili umrudie mkeo. Hiv ingekuwa unamfumania mtu mara moja na kuachwa hv kungekuwa na ndoa zinazodumu miaka na miaka, ni kwasbbu hayo mambo yapo lakn watu husameheana na maisha huendelea.. Kosa moja halimfukuz mke.! Je wew mwenyew ulipokuwa masomon huko hukuwah kuchepuka ht mara moja? hamna aliekamili hvyo kusameheana ni jambo la heri, achana na shankupe huyo, aliemuachisha mwenzie. we unajuaje km huyo ulienae ndio sahihi! hatakaa akusaliti? Piga moyo konde mrudie mkeo km kujuta atakuwa kajuta sn na hatakaa arudie maisha yake yote kwa show uliomuonyesha ulipomfumania.. Mrudie!!
Halafu alitokomea kusikojulikana pengine labda alienda kujiua jamani,kutokana na alivyofanyiwa na hao wavuta bangi.Dah,we ni mtu mbaya sana asee,yani kweli ukawapa vibaka wamuoe mwanaume mwenzio loooh,hii dhambi utaibeba mda mrefu tu
Ama mrudishe mkeo au oa mwingine lakini si huyo aliyekupa taarifa za mkeo.
Maoni yangu yako hivi mkuu sote wanadamu ni wakosaji pia kumbuka madhaifu ya miili yetu cha msingi ni kumsamehe na kurudia,ametambua losa na kuomba msamaha. Wanadamu ni wakosaji ila wanasamehewa makosa yao,msamehe amekuwa na utambuzi wa hatia
watu kweli tuko tofauti, yaani nishuhudie kwa macho yangu waifu akitiwa halafu nimrudie tena, niwe na mapenzi naye tena aaaaah big NOOOOO!!
Na ukimrudia anakuua huyo.
Tena ndani mwako na kitanda chako asee tuko tofaut
Sijui Nikupe pole Au niseme kumbe stahili yakukute, kumchukua rafiki Yake kunakupa Raha gani wewe? Au kuna tofauti gani baina Ya mkeo na wewe makosa yenu? Kama Uliamuaa kumuacha mkeo ungemuacha na ukasonga Mbele huyu fisadi alokuja kukwambia ana mapenzi gani na wewe zaidi Ya roho mbaya na choyo?
Haya Kesha kupata kueshakuonjaa na wewe loneliness ndio inakufanya usijue kupambanua, tuliza akili yako fikiri yeye Sasaivi anaficha makucha Yake mueke ndani ndio utamjua mchuchu wako alokufundisha maji usiite mma...
Pengine katunga mkuu, hapa anasherehesha jukwaa tu