mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,811
- 11,028
Hapana kimaelezo yaonesha haija tungwa
Basi tukubali tu tuko tofauti
Hapana kimaelezo yaonesha haija tungwa
Nikiri tu kwamba mm na yule Rafiki Wa wife somehow somewhere tukajikuta tumekua wapenzi kutokana na faraja aliyonipa katika matatizo yangu
Basi tukubali tu tuko tofauti
Dah,we ni mtu mbaya sana asee,yani kweli ukawapa vibaka wamuoe mwanaume mwenzio loooh,hii dhambi utaibeba mda mrefu tu
a reminder to all women: Kuweni makini na rafiki zenu.
Wakati na yeye huyo huyo anachepuka sema tu mungu yupo upande wake hajafumaniwa tu ila ukoua kwa upando na wewe hivyo hivyo upanga utakumaliza.
Wakati na yeye huyo huyo anachepuka sema tu mungu yupo upande wake hajafumaniwa tu ila ukoua kwa upando na wewe hivyo hivyo upanga utakumaliza.
Halafu alitokomea kusikojulikana pengine labda alienda kujiua jamani,kutokana na alivyofanyiwa na hao wavuta bangi.
Nimejiskia vibaya kweli as if namfaham nimemuonea huruma sana..mwenyewe anajiona alimuweza kweli
Enzi za zamani, Mzee mwenyemji akitoka safari anafikia kwa jirani, halafu anawaambia watoto watangulize mizigo nyumbani.Ili kama bibi kaingiza mtu amtoe kabla ya Mzee kufika. Ndio maana ndoa za zamani zilidumu kwa sababu waliishi kwa hekima.