Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
LILIKUWA BWENI LANGU HILI!
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika bweni la Mapinduzi One, alilolala wakati akiwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Pugu, nje kidogo ya Dara es Salaam kwenye miaka ya 1960.Wazri Mkuu alitembelea shule hiyo jana wakati wa mahafali ya kidato cha Sita.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
My take, hii picha inakufundisha nini wewe kama mwana JF.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika bweni la Mapinduzi One, alilolala wakati akiwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Pugu, nje kidogo ya Dara es Salaam kwenye miaka ya 1960.Wazri Mkuu alitembelea shule hiyo jana wakati wa mahafali ya kidato cha Sita.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
My take, hii picha inakufundisha nini wewe kama mwana JF.