Mh! Ni ngumu sana kuishi na hawa watu (ke) bila ya kuwapa mkwanja!
Yani uwafanyie chochote bila ya kuwapa mkwanza watakuambia haujui kuhandle/kucare!!!
...
Mmh! Mi naenda nao hivyo-hivyo! Lkn kwangu huo mkwanja unatoka baada ya .....! Eee! Tena sio mara zote!
Hawa ni hatari sana
Yaani utadhania mnauziana vile
Ni bora tuwe tunadai risiti aisee!!!!!!!
,.....simu ilipoita ukatoa a (ggxxxxyyyy).....bILI ilipoletwa katoa misimbaziiiiiiiiii
We mpe mpe helaaaa a nakwambi HAKYI ya papuchi ....we mpe mpe helaaaaa
Daktariiiiii toa helaaaaaa.....
,.....simu ilipoita ukatoa a (ggxxxxyyyy).....bILI ilipoletwa katoa misimbaziiiiiiiiii
We mpe mpe helaaaa a nakwambi HAKYI ya papuchi ....we mpe mpe helaaaaa
Daktariiiiii toa helaaaaaa.....
Umemwambiaje?
Au sikiliza nikuambie kitu mkuu,
Kubaliana nae halafu mwambie kuwa yule jamaa alikuita dr kwa kuwa ulikuwa mganga wa kienyeji siku za nyuma
Halafu uone atakuambiaje!
Kwanini hampendi kutafuta za kwenu afu tukashare na zakwetu?
Raha si tunapata wote jaman!!!
Hawa ni hatari sana
Yaani utadhania mnauziana vile
Ni bora tuwe tunadai risiti aisee!!!!!!!
no no no don't change the reality bwana okey.... mwanaume atakula kwa nyasho na mwanamke atazaa kwa uchunguu.........................
bora wewe Mrs. umekuwa muwazi na mkweli
""Swagger ni booongo!! Hii old skuli...hapa nimevaa kama laki tatu hivi""Mbona hii old school? Ndo umejua leo?
Madam umekasirishwa sana yaonekana!!?Wanawake wa dizaini hiyo wananikeraga sana ndo maana wanapewa mapesa kibao ili mambwa yawatafune
Unamkuta binti mzuri amemchanulia mbwa anamtafuna fyuuu...... pamb ......vu kabisa , she.......n....zzzi type !!!
Mmmmmmh!
Thats true as a General rule! But there is no general rule without exceptions!
...
For me, love is free style! Yani fulu maraha! And if ukianza tu kutenga majukumu kama hayo ndio unaharibu!
Ivi mimi kumsaidia kupika buu wangu kuna ubaya! And how if nisipomsaidia?
...
Believe me life is so sweet! If u want it to be!
Na maisha magumu sana ukitaka!
...
Kusema hivyo haimanishi nakimbia majukumu yangu!
Timu mzuri ni ile wote mnalinda na kushambulia!
...
Hope umenisouma Miss Chagga!
Ndo maana halisi ya ile kauli inayosema uchumi mnao lakini mme ukalia .Leo katika pita pita zangu nikakutana na mdada mmoja mtaani. Huyu dada tumeshawahi kutana mara nyingi, mi najua anafanya kazi gani ila ya alikuwa hajui kazi yangu.
Nikamweleza kuwa nina maongezi naye, akanipa namba yake ili nimtafute jioni. Ilipofika jioni nikamtafuta tukaenda pub moja tukaagiza vinywaji na nyama choma.
Tukiendelea kunywa akaniuliza nafanya kazi gani? Nikamwambia mi muuzaji wa duka la mhindi. Si akaanza kujishaua, oooh... Unajua kuna mtu nataka nimuwahi aliahidi kunipa hela leo..!., na sababu zingine kibao! Aakiwa anaendelea kujishaua kuna jamaa anayenifahamu akatukuta pale.
Katika kunisalimia akataja Dr. Nyalotsi vipi? Kusikia hivyo nikaona mdada kabadirika, akaagiza na kinywaji kingine na kuniuliza, mbona hukunambia kuwa wewe ni dr? Nikamjibu nilitaka nijue kama utavutiwa na mimi kwanza.. Bahati nzuri na simu yangu ikaita kuna jamaa yangu alikuwa zamu, alihitaji nimsaidie.
Lakini bado najiuliza, kukiwa hakuna uhakika wa hela hupendwi? Ina maana ni money for service? Duh, kazi tunayo..!