Northern Lights
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 383
- 347
.
Du huyu jamaa anaonekana sio wa kawaida alijiunga JF alikwa darasa la nne au la tano 2013! kwa elimu ya sasa alijiunga JF alikuwa na umri chini ya miaka 15!Member since 2013
Umemaliza form four mwaka jana sio?Pole
Duh.....hatareeeMember since 2013
Umemaliza form four mwaka jana sio?Pole
sio ajabu anaweza akawa ana umri mkubwaMember since 2013
Umemaliza form four mwaka jana sio?Pole
Mzee umebutua Sana, pongezi zako, Kuna jamaa aliniambia nijiunge QT nisafishe cheti nikachukulia poa...Haya ndo matokeo yangu. Napendelea masomo ya science ila phyiscs imeniangusha.
CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' PHY - 'F' CHEM - 'C' BIO - 'A' AGRI - 'C' B/MATH - 'C'.
Je niende combi gani ili niweze kusomea udaktari au pharmacy
Pharmacy chuo cha serikali unapata diploma kabisa! Kwa cheti hichoHaya ndo matokeo yangu. Napendelea masomo ya science ila phyiscs imeniangusha.
CIV - 'B' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'B' ENGL - 'C' PHY - 'F' CHEM - 'C' BIO - 'A' AGRI - 'C' B/MATH - 'C'.
Je niende combi gani ili niweze kusomea udaktari au pharmacy
Hakijabadilika anaweza kubadili mchepuo akishafika shuleni, iwapo ana B ya kemia na biologia, pia kama hajafeli math.serikalini kwrnda Form V ni kazima upate BBC, udaktari bila physics ni kazi kubwa, nna dogo hapa ana D ya physics kila kitu kimeharibika