Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,493
- 176,572
Umenikumbusha juzi mtu kanihubiria nna maongezi tukutane tuongee, zaidi ya mwezi nkaona isiwe tabu nikamwambia ntakuwa na muda siku flani ila tukae sehemu ambayo sio baa ilojaa Walevi
Maajabu ya Farao anipigia nikamuuliza ni wapi nikufuate maana siko home kanitajia bonge la lodge na keshalipia. ' nkamuambia tunaendaje kuzungumzia chumbani? Yuko kule kuna kila kitu utakacho utapata mama! Sikupokea simu yake tena. Kesho yake nikamwambia kuna mtu alikuambia mimi ni changudoa? Basi ungetuma hela yangu kabisa Jipu wewe
Akili za hawa watu wanazijua wenyewe.