Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Nilikuja kukusalimu tu si kuliamsha dude

Umenikumbusha juzi mtu kanihubiria nna maongezi tukutane tuongee, zaidi ya mwezi nkaona isiwe tabu nikamwambia ntakuwa na muda siku flani ila tukae sehemu ambayo sio baa ilojaa Walevi

Maajabu ya Farao anipigia nikamuuliza ni wapi nikufuate maana siko home kanitajia bonge la lodge na keshalipia. ' nkamuambia tunaendaje kuzungumzia chumbani? Yuko kule kuna kila kitu utakacho utapata mama! Sikupokea simu yake tena. Kesho yake nikamwambia kuna mtu alikuambia mimi ni changudoa? Basi ungetuma hela yangu kabisa Jipu wewe

Akili za hawa watu wanazijua wenyewe.
 
Tatizo naye alikuwa na pupa akashindwa kufuata protocol elekezi,angekuwa ni mimi ungelika tu tena kwa hiyari yako mwenyewe.Kwanza angeacha siku ya kwanza ipite,huwezi mla mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tena gesti,siku ya kwanza ni ya kufamiliarise,kusoshalize,kumfanya mdada awe komfotabo na wewe,alafu unaomba apointment nyengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume bwana!! Na hapo kaoa, ingekuwa hujui kuwa kaoa asingekubali kama kaoa. Sijui kwanini huwa wanazikana ndoa zao, visingizio vyao sasa vinachekesha kwakweli.


Aseme ukweli umnyime papa?
 
Tatizo naye alikuwa na pupa akashindwa kufuata protocol elekezi,angekuwa ni mimi ungelika tu tena kwa hiyari yako mwenyewe.Kwanza angeacha siku ya kwanza ipite,huwezi mla mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tena gesti,siku ya kwanza ni ya kufamiliarise,kusoshalize,kumfanya mdada awe komfotabo na wewe,alafu unaomba apointment nyengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaalamu
 
Huyu kaka alikuwa first boy friend wangu miaka ileee, tulipotezana kabisa si unajua harakati za maisha zilivyo nyingi. Imetokea anakaa jirani na work mate wangu, katika maongezi work mate alinitajia mitaa anayokaa nikakupunguka unaifahamu hii family, maana kile kipindi cha uboy friend na ugirl friend shurti kwenye party utinge home na mwenyewe ukijua huyu ndiye wa kwashida na raha unajipendekeza kwa mama mkwe pia.

Basi shost alimpa salamu na nikapewa na number ya simu, tulisalimiana tukakumbushana mambo ya historia na kucheka basi nilimwambia leo J'mosi nitakwenda kumuona shost maana analeta vitenge kutoka Kigoma. Nimefika mitaa jamaa akaniambia tukale nyama kuna sehemu wanachoma nyama tamu sana. Tumekwenda kula khe mwanaume anatafuta chumba guest, jamani jamani alinibore vibaya sana.

Hivi ndiyo weekend ilivyokwisha sidhani kama tutawasiliana tena.
Kwahio akakupasua au umenuna nini sasa bibie, jamaa alipiga jukebox au?
 
Huyu kaka alikuwa first boy friend wangu miaka ileee, tulipotezana kabisa si unajua harakati za maisha zilivyo nyingi. Imetokea anakaa jirani na work mate wangu, katika maongezi work mate alinitajia mitaa anayokaa nikakupunguka unaifahamu hii family, maana kile kipindi cha uboy friend na ugirl friend shurti kwenye party utinge home na mwenyewe ukijua huyu ndiye wa kwashida na raha unajipendekeza kwa mama mkwe pia.

Basi shost alimpa salamu na nikapewa na number ya simu, tulisalimiana tukakumbushana mambo ya historia na kucheka basi nilimwambia leo J'mosi nitakwenda kumuona shost maana analeta vitenge kutoka Kigoma. Nimefika mitaa jamaa akaniambia tukale nyama kuna sehemu wanachoma nyama tamu sana. Tumekwenda kula khe mwanaume anatafuta chumba guest, jamani jamani alinibore vibaya sana.

Hivi ndiyo weekend ilivyokwisha sidhani kama tutawasiliana tena.
Kwahio akakupasua au umenuna nini sasa bibie, jamaa alipiga jukebox au?
 
Hakunaga urafiki kati ya mtt wa kike na kiume.. You either give him or move out of his way
Ofcourse hili nalikubali kwa asilimia zote, maswala ya mariah carey na yule choko kwenye kideo cha "touch my body" hayana nafasi nikiwa na ke!
Ni mipasuko tu
 
Huyu kaka alikuwa first boy friend wangu miaka ileee, tulipotezana kabisa si unajua harakati za maisha zilivyo nyingi. Imetokea anakaa jirani na work mate wangu, katika maongezi work mate alinitajia mitaa anayokaa nikakupunguka unaifahamu hii family, maana kile kipindi cha uboy friend na ugirl friend shurti kwenye party utinge home na mwenyewe ukijua huyu ndiye wa kwashida na raha unajipendekeza kwa mama mkwe pia.

Basi shost alimpa salamu na nikapewa na number ya simu, tulisalimiana tukakumbushana mambo ya historia na kucheka basi nilimwambia leo J'mosi nitakwenda kumuona shost maana analeta vitenge kutoka Kigoma. Nimefika mitaa jamaa akaniambia tukale nyama kuna sehemu wanachoma nyama tamu sana. Tumekwenda kula khe mwanaume anatafuta chumba guest, jamani jamani alinibore vibaya sana.

Hivi ndiyo weekend ilivyokwisha sidhani kama tutawasiliana tena.
Wanawake bwana hahaaa,asingetafuta chumba guest ungemdharau tena,jamaa katimiza wajib wake kiumeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaaani wanaume wa siku hizi ukikubali urafiki tu wanawaza ngono.hata huku jf ukimpa namba siku mbili anaanza kukuambia alivo na nyege inakuwa vipi kugegedana.najiuliza hii forum ni ya ngono? hatuwezi kuwasiliana kusaidiana kimaisha?
Umeongea la mbolea sana, yaani Kuna watu wanawaza ngono tu.
 
Tatizo naye alikuwa na pupa akashindwa kufuata protocol elekezi,angekuwa ni mimi ungelika tu tena kwa hiyari yako mwenyewe.Kwanza angeacha siku ya kwanza ipite,huwezi mla mwanamke anayejielewa siku ya kwanza tena gesti,siku ya kwanza ni ya kufamiliarise,kusoshalize,kumfanya mdada awe komfotabo na wewe,alafu unaomba apointment nyengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu mfumo utakuchelewesha sana mkuu, mleta mada ameshasema ndo mpenz wake wa kwanza.... kwahyo walikuwa hawaend kufanya kitu kigen kias cha kuanza kumtengeneza awe comfortable, kwahyo kumranda siku hyo hyo ilikuwa inawezekana.

alichokosea jamaa ni kitu kidogo sana,
Mnapoachana na mpenz wako kwa kipind kirefu, mkija kukutana tena, kila mtu huwa anajaribu kujiweka juu.... yan kila mtu anaonyesha pride yake, kwahyo kitendo cha kumpeleka gest kilikuwa na tafsiri ya dharau kwa mwanamke, kichwan alianza kujiuliza hiv huyu ananichukuliaje? Akaona ameletewa dharau, lakin jamaa ilibd aombe geto hta la jamaa ake aende akakae na bint huko huku wanakula nyamachoma yao wakiwa ndan, hku jamaa akiwa amejifanya mdooooogo, hapo dogo hasingechomoa.

kisaikolojia, mwanamke mwenyewe alikuwa amejiandaa kuliwa... (japokuwa atabisha).. unakuta alishavaa ile chup yake anayoipenda... ila jamaa kashindwa kutembea kwenye reli.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom